Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchumi

  • Deni la taifa la Marekani lavunja rekodi, ni zaidi ya dola trilioni 22

    Deni la taifa la Marekani lavunja rekodi, ni zaidi ya dola trilioni 22

    Feb 13, 2019 07:34

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeripoti kuwa, nchi hiyo inadaiwa dola trilioni 22, kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Jan 17, 2019 07:48

    Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.

  • Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Nov 02, 2018 07:28

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefichua kuwa, nchi hiyo ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi katika mji wa Muzarabani ulioko kaskazini mwa nchi.

  • Kusambaratika uchumi wa Bahrain katika kivuli cha utawala wa Aal Khalifa

    Kusambaratika uchumi wa Bahrain katika kivuli cha utawala wa Aal Khalifa

    Jul 30, 2018 11:07

    Ripoti mbalimbali kutoka nchini Bahrain zinaonyesha kuwa, hali ya uchumi wa nchi hiyo ya Kiarabu inazidi kuwa mbaya chini ya kivuli cha utawala wa Aal Khalifa.

  • Le Drian: Hatumruhusu Trump kuiyumbisha Ulaya

    Le Drian: Hatumruhusu Trump kuiyumbisha Ulaya

    Jul 13, 2018 15:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amekosoa siasa za kiuchumi zinazotekelezwa na Rais wa Marekani kuhusiana na Ulaya na kueleza kuwa, Paris haitatoa mwanya kwa Trump kuivuruga Ulaya.

  • Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Jul 03, 2018 03:07

    Shirika la Taifa la Mafuta la Libya limetangaza kuwa mapigano ya hivi karibuni katika eneo la Hilali ya Mafuta nchini humo yamesababisha hasara ya mamilioni ya dola kwa uchumi wa nchi hiyo.

  • Harakati ya mitandao ya kijamii ya kumtaka Rais Sisi wa Misri aondoke madarakani

    Harakati ya mitandao ya kijamii ya kumtaka Rais Sisi wa Misri aondoke madarakani

    Jun 24, 2018 01:14

    Kufuatia kuendelea kuwa mbaya mgogoro wa kiuchumi na kisiasa nchini Misri, wananchi ambao wanakandamizwa sasa wameamua kutumia mitandao ya kijamii hasa Twitter kulalamikia utawala wa Rais Abdel Fatah el Sisi huku wengi wakimtaka aondoke madarakani.

  • Haaretz: Ni Israel ndiyo iliyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza

    Haaretz: Ni Israel ndiyo iliyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza

    Jun 17, 2018 15:02

    Gazeti la utawala wa Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, Israel ndiyo iliiyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza kutokana na mashambulizi yake ya mara kwa mara kwenye maeneo muhimu ya kiuchumi ya Wapalestina ikiwa ni pamoja na zana za uvuvi za wananchi hao wa Ghaza.

  • Saudia yawatimua wafanyakazi wa kigeni baada ya kupanda gharama za vita dhidi ya Yemen

    Saudia yawatimua wafanyakazi wa kigeni baada ya kupanda gharama za vita dhidi ya Yemen

    May 01, 2018 02:45

    Kufuatia gharamza kubwa za vita vyake dhidi ya watu wa Yemen, sasa Saudia imelazimika kuanza kupunguza wafanyakazi wa kigeni nchini humo.

  • Rais Rouhani: Iran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Iran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia

    Aug 30, 2017 07:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la Mpango Kamili wa Utekelezaji wa Pamoja (JCPOA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS