-
Uturuki yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri Marekani, kisa usalama
Jan 13, 2018 00:15Uturuki imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri nchini Marekani kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.
-
Sheria ya "adhabu ya kifo" dhidi ya Wapalestina walioshiriki katika operesheni dhidi ya Israel; ugaidi wa kiserikali
Jan 06, 2018 04:12Hatua ya Bunge la Israel ya kupasisha sheria ya "adhabu ya kifo" dhidi ya Wapalestina walioshiriki katika mashambulizi dhidi ya malengo ya Israel ambayo yamepelekea kuuawa Wazayuni, imekabiliwa na upinzani mkali wa maafisa wa Palestina na Umoja wa Ulaya.
-
Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda
Dec 29, 2017 04:35Habari kutoka Kampala, mji mkuu wa Uganda zinasema raia 45 wa Rwanda wanaozuiliwa katika kituo cha polisi cha Nalufenya wilayani Jinja wamefunguliwa mashitaka ya ugaidi.
-
Larijani: Vita athirifu dhidi ya ugaidi vinategemea umoja wa nchi za eneo
Dec 25, 2017 11:23Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vita athirifu dhidi ya ugaidi vinategemea umoja na mshikamano wa nchi za eneo katika suala hilo.
-
Dunia yaafiki pendekezo la Iran la kupambana na misimamo mikali
Dec 21, 2017 07:40Azimio lililopendekezwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu 'Dunia Dhidi ya Machafuko na Misimamo Mikali' liliidhinishwa kwa mara ya tatu na kwa kauli moja na nchi zote za dunia Jumatano katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Russia yaitahadharisha Marekani kuhusu kuwapatia silaha mpya magaidi huko Syria
Dec 17, 2017 11:04Russia imeitahadharisha Marekani kuhusu taathira za kuwapatia silaha mpya magaidi waliopo Syria.
-
Larijani: Iran na Russia kuendeleza ushirikiano wa kupambana na ugaidi
Dec 04, 2017 23:17Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mazunguumzo ya Tehran na Moscow kuhusu kupambana na ugaidi na ushirikiano wa pamoja katika uwanja huo utaendelea.
-
Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512
Dec 02, 2017 00:45Watu 512 sasa wamebainika kupoteza maisha katika miripuko miwili ya mabomu iliyojiri katika mkuu wa Somalia, Mogadishu mwezi Oktoba, imesema kamati ya kuchunguza hujuma hiyo.
-
Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia
Dec 01, 2017 03:51Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitangaza siku ya Jumatano kuwa Saudi Arabia inapaswa ikatishe ufadhili wake wa kifedha kwa makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Frankfurter Allgemeine: Utendaji mbaya wa serikali ya al Sisi unachochea ugaidi
Nov 27, 2017 11:35Gazeti la Frankfurter Allgemeine Zeitung linalochapishwa nchini Ujerumani limeshambulia vikali utendaji mbaya wa serikali ya Rais Abdul Fattah al Sisi nchini Misri na kusema inahusika kwa njia moja au nyingine katika kuchochea ugaidi.