-
DRC yamuita balozi wa Uganda kujadili tuhuma za kuunga mkono M23
Jul 21, 2024 11:02Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemuita balozi mdogo wa Uganda nchini humo, baada ya Umoja wa Mataifa kusema katika ripoti yake kwamba, jeshi la Uganda limewauga mkono waasi wa M23 wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.
-
Jeshi la Uganda lakanusha madai ya kuwaunga mkono waasi wa M23
Jun 18, 2024 02:41Jeshi la Uganda (UPDF) limekanusha madai kwamba linatoa msaada kwa wapiganaji wa M23 ambao wanaendesha harakati zao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Kenya na Uganda zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta
May 17, 2024 07:24Kenya na Uganda zimekubaliana kujenga kwa pamoja bomba la kusafirishia mafuta kutoka mjini Eldoret katika eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya hadi Uganda.
-
Uganda: Tunahitaji teknolojia ya Iran kudhibiti maudhui chafu, potofu mitandaoni
May 10, 2024 07:25Serikali ya Uganda inatafakari kuanza kutumia teknolojia iliyopiga hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kudhibiti maudhui chafu na za upotoshaji kwenye mitandao ya kijamii.
-
Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari
May 02, 2024 11:21Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza utayari wa taifa hili wa kushirikiana na Uganda katika miradi ya mawasiliano na teknolojia habari na uhamishaji wa taaluma hiyo kwa taifa hilo la Afrika Mashariki.
-
Iran na Uganda kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo
May 01, 2024 07:18Mwenyekiti wa Kamisheni ya Viwanda na Madini ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inatilia maanani ushirikiano wa kilimo na Uganda katika uga wa kilimo nje ya mipaka ya nchi, mafunzo na ushirikiano wa wataalamu na watafiti.
-
Rais Museveni amteua mwanawe kuwa Mkuu wa Majeshi ya Uganda
Mar 22, 2024 10:56Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemteua mwanawe wa kiume, Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Mahakama Uganda yapinga ombi la kusajiliwa kundi la LGBT
Mar 13, 2024 07:45Mahakama moja nchini Uganda imetupilia mbali ombi la kundi moja la kutetea mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja LGBT, lililotaka korti hiyo iilazimishe serikali ya Kampala itoe idhini ya kusajiliwa kwa kundi hilo.
-
Uganda yajitenga na jaji wa ICJ aliyepiga kura kwa maslahi ya Israel
Jan 27, 2024 07:29Uganda imejiweka mbali na hatua ya Julia Sebutinde, jaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) raia wa nchi hiyo, ya kupiga kura kupinga vipengee vya maagizo yaliyotolewa na mahakama hiyo ya Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni Israel kutokana na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo pandikizi katika Ukanda wa Gaza dhidi ya Wapalestina.
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Gaza imekuwa gereza kubwa zaidi la wazi duniani
Jan 20, 2024 13:49Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao cha Harakati ya Nchi Zisizofungamano ya Siasa za Upande Wowote (NAM) kinachofanyika Kampala nchini Uuganda kwamba: Mzingiro wa muda mrefu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza umelifanya eneo hilo kuwa jela kubwa zaidi ya wazi duniani.