-
Wanasiasa Uganda watakiwa kuchunga matamshi yao kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola + Sauti
May 31, 2018 13:10Wanasiasa nchini Uganda wameonywa kuhusu kutoa matamshi yanayoweza kuzusha hofu na wasiwasi mkubwa nchini Uganda na katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
-
Mufti Mkuu wa Uganda: Waislamu shikamaneni na mdumishe udugu
May 29, 2018 11:37Mufti Mkuu wa Uganda Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje amesisitizia umuhimu wa kudumishwa amani duniani kote.
-
Wakazi wa mashariki mwa Kongo waandamana kulaani udhaifu wa jeshi katika kukabiliana na waasi
May 22, 2018 23:07Utendaji dhaifu wa jeshi la serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kukabiliana na waasi wa maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo, umewakasirisha wakazi wa maeneo hayo na kuamua kufanya maandamano.
-
SAUTI, Shirika la Afya WHO: Walaji wa nyama za porini kama sokwe nk waache tabia hiyo ili waepukane na Ebola
May 19, 2018 12:32Huku Shirika la Afya Duniani (WHO) limkitangaza kuwa, mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo haujafika kiwango cha kutangazwa hali ya hatari, limeitaka serikali ya Uganda kuchukua hatua za kiafya kwa ajili ya kujikinga na janga hilo.
-
Waislamu nchini Uganda watakiwa kukithirisha ibada mwezi wa Ramadhani (SAUTI)
May 16, 2018 03:28Mwito umetolewa kwa waumini wa Kiislamu nchini Uganda kujipinda na kukithirisha ibada katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Waislamu, Wakristo Uganda walalamikia kutozwa ushuru Misahafu, Biblia
May 15, 2018 09:44Viongozi wa kidini nchini Uganda wamekosoa vikali hatua ya Mamlaka ya Kukusanya Ushuru nchini humo URA kuanza kutoza ushuru wa forodha suhula za kidini zinazoingizwa nchini humo kama nakala za Qurani na Biblia.
-
UN: Wakimbizi 15,000 kutoka Sudan Kusini, DRC wameingia Uganda Aprili
May 12, 2018 23:46Ripoti mpya ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR imebainisha kuwa, wakimbizi 15,000 hususan kutoka nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Sudan Kusini wameingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Aprili.
-
Uganda yaitaka UN iiongezee ufadhili kwa ajili ya wakimbizi
May 06, 2018 03:20Serikali ya Uganda imeutaka Umoja wa Mataifa uongeze msaada na ufadhili wake kwa ajili ya makumi ya maelfu ya wakimbizi walioko nchini humo.
-
Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu
May 04, 2018 02:54Viongozi wa upinzani nchini Uganda wameitaka serikali ya Kampala kutoa ripoti kuhusu mauaji na kamatakamata dhidi ya viongozi na wahubiri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
SAUTI, Ripoti ya Kiislamu, Waislamu Uganda wamtaka Rais Museven kuzingatia uwiano katika nafasi za uongozi
Apr 27, 2018 12:13Waislamu nchini Uganda wamemkumbusha Rais Museven kuangalia uwiano katika uteuzi wa nafasi za uongozi kati ya Waislamu na Wakristo.