-
Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba
Feb 27, 2016 22:59Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki watakutana Arusha, Tanzania Jumatano ijayo kujadili upigaji marufuku uingizaji wa nguo zilizotumika au mitumba, magari yaliyotumika na bidhaa za ngozi kutoka nje ya eneo eneo hilo.
-
Mtandao wa kusajili waasi wa Uganda huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo watokomezwa
Feb 27, 2016 03:24Vikosi vya usalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimefanikiwa kuuangamiza mtandao uliokuwa ukifanya kazi ya kuwasajili vijana ili wajiunge na waasi wa Uganda wanaoendesha shughuli zao katika nchi hiyo.
-
Kampala yatangazwa kuwa mji bora zaidi Afrika Mashariki
Feb 25, 2016 01:58Utafiti uliofanywa na taasisi ya Mercer unaonyesha kuwa, jiji la Kampala nchini Uganda ndilo bora zaidi kwa ajili ya kuishi katika eneo la Afrika Mashariki.
-
Obasanjo ataka upinzani na serikali kuzungumza Uganda
Feb 23, 2016 00:08Serikali na upinzani nchini Uganda zimetakiwa kukomesha uhasama wa kisiasa na badala yake zikae kwenye meza ya mazungumzo na kutatua hitilafu zilizoko kwa amani.
-
Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda
Feb 22, 2016 03:40Tume ya Uchaguzi ya Uganda juzi alasiri ilitangaza kuwa Yoweri Museveni ni Rais Mpya wa nchi hiyo baada ya kushinda zaidi ya asilimia 60 ya kura na hivyo kumshinda mpinzani wake mkuu Dakta Kiiza Besigye.
-
Shaka ya waangalizi wa Ulaya kuhusu usahihi wa uchaguzi wa Uganda
Feb 21, 2016 04:30Waangalizi wa Ulaya wamesema kuwa Tume ya Uchaguzi ya Uganda haikuwa huru katika uchaguzi wa hivi karibuni.
-
Museveni ashinda urais Uganda, upinzani wakataa matokeo
Feb 20, 2016 09:53Tume ya uchaguzi ya Uganda imemtangaza Yoweri Kaguta Museveni kuwa mshindi wa kiti cha rais kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya Alhamisi.
-
Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda
Feb 19, 2016 23:38Wanajeshi wa Uganda wanaoshiriki kwenye operesheni za kijeshi za kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia wamefanikiwa kuvunja mashambulio mawili ya kundi la kigaidi la al shabab katika kambi za AU kama ambavyo wamefanikiwa pia kuua makamanda wawili wa kundi hilo katika siku chache zilizopita.
-
Polisi Uganda: Besigye ataachiwa huru baada ya kutangazwa matokeo
Feb 19, 2016 11:35Polisi nchini Uganda imesema itaendelea kumzuilia mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha FDC, Dakta Kizza Besigye na kwamba huenda akaachiwa huru hapo kesho baada ya matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais na bunge kutangazwa.
-
Mbabazi: Nitaheshimu matokeo kama yatakuwa ya haki
Feb 19, 2016 04:24Waziri Mkuu wa zamani wa Uganda, Amama Mbabazi amesema atakubali matokeo ya uchaguzi endapo kutakuweko uwazi katika mchakato mzima wa kuhesabu kura.