-
Jumapili, Novemba 5, 2017
Nov 05, 2017 05:39Leo ni Jumapili tarehe 16 Mfunguo Tano Safar 1439 Hijria, sawa na tarehe tano Novemba, 2017 Miladia.
-
Uingereza yaendelea kukosolewa kila kona kwa hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Israel
Nov 03, 2017 04:25Serikali ya Uingereza imeendelea kuandamwa na ukosoaji wa kila upande kutokana na hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Jumatano 1 Novemba, 2017
Nov 01, 2017 01:02Leo ni Jumatano tarehe 12 Safar 1439 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba, 2017.
-
Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe
Oct 24, 2017 01:01Uingereza inataka raia wake waliojiunga na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini Syria wauawe kabla ya kupata fursa ya kurejea nyumbani.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 23
Oct 23, 2017 04:39Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na karibu tutupie jicho matukio kadhaa muhimu yaliyotawala uga wa spoti kitaifa na kimataifa, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi...
-
Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour
Oct 19, 2017 12:44Wakati serikali ya Uingereza inatazamiwa kusherehekea maadhimisho ya miaka 100 tangu kutolewa Azimio la Balfour, makundi ya Kipalestina yamesisitizia ulazima wa serikali ya London kuliomba radhi taifa la Palestina kwa sababu ya kutoa azimio hilo.
-
Ulimwengu wa Michezo
Oct 16, 2017 04:38Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache za kukupasha matukio mawili matatu yaliyotikisa uga wa michezo duniani, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi, karibu……...
-
Uingereza yamtaka Trump aheshimu JCPOA
Oct 11, 2017 04:48Waziri Mkuu wa Uingereza amekariri kuwa London itaendelea kufungamana na kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Iran, huku akimtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuheshimu mapatano hayo ya kimataifa.
-
Syria: US na UK ziliwapa magaidi silaha za kemikali zilizoua raia Khan Sheykhoun
Aug 17, 2017 02:43Uchunguzi uliofanywa na serikali ya Damascus umebainisha kuwa, Marekani, Uingereza na waitifaki wao zinayapa silaha zikiwemo za kemikali magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jumanne tarehe 25 Julai, 2017
Jul 24, 2017 22:31Leo ni Jumanne tarehe Mosi Dhilqaada 1438 Hijria sawa na Julai 25, 2017.