• New York Times: Maelfu ya watu wamenasa katika utumwa Uingereza

    New York Times: Maelfu ya watu wamenasa katika utumwa Uingereza

    Nov 19, 2017 23:18

    Ripoti iliyochapishwa na tume ya serikali ya Uingereza imesema kuwa maelfu ya watu nchini humo wanatumbukia katika mtego wa utumwa na kwamba baadhi yao ni wahajiri japokuwa wengi wao ni raia wa Uingereza yenyewe, suala ambalo limezusha mshtuko mkubwa.

  • Waziri wa Uingereza ajiuzulu kwa kufanya mikutano ya siri na Netanyahu

    Waziri wa Uingereza ajiuzulu kwa kufanya mikutano ya siri na Netanyahu

    Nov 09, 2017 04:20

    Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Uingereza, Priti Patel amelazimika kujiuzulu kutokana na mtikisiko wa kisiasa nchini humo uliosababishwa na yeye kufanya mikutano ya siri na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel akiwemo Waziri Mkuu wa utawala huo bandia, Benjamin Netanyahu.

  • Jumapili, Novemba 5, 2017

    Jumapili, Novemba 5, 2017

    Nov 05, 2017 05:39

    Leo ni Jumapili tarehe 16 Mfunguo Tano Safar 1439 Hijria, sawa na tarehe tano Novemba, 2017 Miladia.

  • Uingereza yaendelea kukosolewa kila kona kwa hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Israel

    Uingereza yaendelea kukosolewa kila kona kwa hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Israel

    Nov 03, 2017 04:25

    Serikali ya Uingereza imeendelea kuandamwa na ukosoaji wa kila upande kutokana na hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Jumatano 1 Novemba, 2017

    Jumatano 1 Novemba, 2017

    Nov 01, 2017 01:02

    Leo ni Jumatano tarehe 12 Safar 1439 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba, 2017.

  • Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Oct 24, 2017 01:01

    Uingereza inataka raia wake waliojiunga na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini Syria wauawe kabla ya kupata fursa ya kurejea nyumbani.

  • Ulimwengu wa Spoti, Okt 23

    Ulimwengu wa Spoti, Okt 23

    Oct 23, 2017 04:39

    Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na karibu tutupie jicho matukio kadhaa muhimu yaliyotawala uga wa spoti kitaifa na kimataifa, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi...

  • Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Oct 19, 2017 12:44

    Wakati serikali ya Uingereza inatazamiwa kusherehekea maadhimisho ya miaka 100 tangu kutolewa Azimio la Balfour, makundi ya Kipalestina yamesisitizia ulazima wa serikali ya London kuliomba radhi taifa la Palestina kwa sababu ya kutoa azimio hilo.

  • Ulimwengu wa Michezo

    Ulimwengu wa Michezo

    Oct 16, 2017 04:38

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache za kukupasha matukio mawili matatu yaliyotikisa uga wa michezo duniani, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi, karibu……...

  • Uingereza yamtaka Trump aheshimu JCPOA

    Uingereza yamtaka Trump aheshimu JCPOA

    Oct 11, 2017 04:48

    Waziri Mkuu wa Uingereza amekariri kuwa London itaendelea kufungamana na kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Iran, huku akimtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuheshimu mapatano hayo ya kimataifa.