Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Jumapili, Novemba 5, 2017

    Jumapili, Novemba 5, 2017

    Nov 05, 2017 05:39

    Leo ni Jumapili tarehe 16 Mfunguo Tano Safar 1439 Hijria, sawa na tarehe tano Novemba, 2017 Miladia.

  • Uingereza yaendelea kukosolewa kila kona kwa hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Israel

    Uingereza yaendelea kukosolewa kila kona kwa hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Israel

    Nov 03, 2017 04:25

    Serikali ya Uingereza imeendelea kuandamwa na ukosoaji wa kila upande kutokana na hatua yake ya kuasisi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Jumatano 1 Novemba, 2017

    Jumatano 1 Novemba, 2017

    Nov 01, 2017 01:02

    Leo ni Jumatano tarehe 12 Safar 1439 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba, 2017.

  • Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Oct 24, 2017 01:01

    Uingereza inataka raia wake waliojiunga na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini Syria wauawe kabla ya kupata fursa ya kurejea nyumbani.

  • Ulimwengu wa Spoti, Okt 23

    Ulimwengu wa Spoti, Okt 23

    Oct 23, 2017 04:39

    Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na karibu tutupie jicho matukio kadhaa muhimu yaliyotawala uga wa spoti kitaifa na kimataifa, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi...

  • Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Oct 19, 2017 12:44

    Wakati serikali ya Uingereza inatazamiwa kusherehekea maadhimisho ya miaka 100 tangu kutolewa Azimio la Balfour, makundi ya Kipalestina yamesisitizia ulazima wa serikali ya London kuliomba radhi taifa la Palestina kwa sababu ya kutoa azimio hilo.

  • Ulimwengu wa Michezo

    Ulimwengu wa Michezo

    Oct 16, 2017 04:38

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache za kukupasha matukio mawili matatu yaliyotikisa uga wa michezo duniani, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi, karibu……...

  • Uingereza yamtaka Trump aheshimu JCPOA

    Uingereza yamtaka Trump aheshimu JCPOA

    Oct 11, 2017 04:48

    Waziri Mkuu wa Uingereza amekariri kuwa London itaendelea kufungamana na kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Iran, huku akimtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuheshimu mapatano hayo ya kimataifa.

  • Syria: US na UK ziliwapa magaidi silaha za kemikali zilizoua raia Khan Sheykhoun

    Syria: US na UK ziliwapa magaidi silaha za kemikali zilizoua raia Khan Sheykhoun

    Aug 17, 2017 02:43

    Uchunguzi uliofanywa na serikali ya Damascus umebainisha kuwa, Marekani, Uingereza na waitifaki wao zinayapa silaha zikiwemo za kemikali magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jumanne tarehe 25 Julai, 2017

    Jumanne tarehe 25 Julai, 2017

    Jul 24, 2017 22:31

    Leo ni Jumanne tarehe Mosi Dhilqaada 1438 Hijria sawa na Julai 25, 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS