-
Syria: US na UK ziliwapa magaidi silaha za kemikali zilizoua raia Khan Sheykhoun
Aug 17, 2017 02:43Uchunguzi uliofanywa na serikali ya Damascus umebainisha kuwa, Marekani, Uingereza na waitifaki wao zinayapa silaha zikiwemo za kemikali magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jumanne tarehe 25 Julai, 2017
Jul 24, 2017 22:31Leo ni Jumanne tarehe Mosi Dhilqaada 1438 Hijria sawa na Julai 25, 2017.
-
Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza
Jun 18, 2017 03:23Vitendo vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu vimeongezeka nchini Uingereza hasa baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi katika miji ya Manchester na London.
-
Jumapili, Juni 18, 2017
Jun 17, 2017 23:26Leo ni Jumapili tarehe 23 Ramadhani 1438 Hijria sawa na tarehe 18 Juni, 2017 Miladia.
-
Jumamosi, Juni 10, 2017
Jun 09, 2017 23:28Leo ni Jumamosi tarehe 15 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1438 Hijria sawa na tarehe 10 Juni mwaka 2017 Miladia.
-
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni
Jun 08, 2017 23:41Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Uingereza yanaonesha kuwa, chama cha Conservative kimeshinda kwa kupata viti vingi vya Bunge ingawa kimepoteza wingi mutlaki.
-
Waingereza washiriki uchaguzi mkuu, Wabunge 650 kuchaguliwa
Jun 08, 2017 03:23Mamilioni ya wananchi wa Uingereza hii leo wanaelekea kwenye masanduku ya kupiga kura kushiriki uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, ambapo chama tawala cha Kihafidhina kinatazamiwa kuchuana vikali na chama cha upinzani cha Leba.
-
Waislamu Uingereza walaani mashambulizi ya kigaidi London, Manchester
Jun 06, 2017 09:13Waislamu nchini Uingereza wamelaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika miji ya London na Manchester yaliyosababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Kiongozi wa upinzani Uingereza aituhumu Saudia kwa kuunga mkono ugaidi
Jun 05, 2017 02:20Kiongozi wa upinzani nchini Uingereza, Jeremy Corbyn amesema, wakati sasa umewadia kwa nchi yake kufanya 'mazungumzo magumu' na Saudia Arabia na madola mengine ya Kiarabu ambayo yanaunga mkono magaidi.
-
Baba wa mhusika wa shambulio la kigaidi la Manchester akamatwa nchini Libya
May 25, 2017 03:20Baada ya kukamatwa ndugu wa kiume wa Salman Abedi, mhusika wa shambulio la kigaidi la mjini Manchester, Uingereza, kitengo cha kupambana na ugaidi nchini Libya kimetangaza kuwa kimemkamata pia baba wa mhusika huyo wa shambulio hilo.