-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 8
May 08, 2017 05:48Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....
-
Magaidi 350 raia wa Uingereza warejea nyumbani kutoka Syria
May 06, 2017 03:17Mashirika ya kijasusi ya Uingereza yameonya kuwa raia 350 wa nchi hiyo ambao ni magaidi wanachama wa kundi la kigaidi la ISIS wamerejea nchini humo kutoka Syria na sasa ni tishio kubwa kwa usalama.
-
Uingereza yatuma mamia ya askari wake nchini Sudan Kusini
May 03, 2017 03:14Serikali ya Uingereza imeanza kutuma askari 400 wa nchi hiyo nchini Sudan Kusini kwenda kujiunga na Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa UNMISS.
-
Moscow: Uingereza itafutwa katika ramani ya dunia iwapo itatumia silaha za nyuklia dhidi ya Russia
Apr 24, 2017 22:34Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Seneti la Russia ametoa tahadhari kali kuhusu vitisho vilivyotolewa na Waziri wa Ulinzi wa Uingereza vya kutumia silaha za nyuklia katika mashambulizi eti ya kujilinda dhidi ya Russia.
-
Ulimwengu wa Spoti, Apr 24
Apr 24, 2017 05:30Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri wiki hii ndani na nje ya nchi....
-
Wapalestina waitaka Uingereza kuomba radhi kwa kutoa Azimio la Balfour
Apr 18, 2017 11:07Taarifa ya mwisho iliyotolewa na mkutano wa Wapalestina wanaoishi barani Ulaya imeitaka Uingereza kuomba radhi rasmi kwa sababu ya kutoa Azimio la Balfour lililopelekea kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina na hatimaye kufukuzwa wenyeji katika ardhi na nchi yao.
-
Ulimwengu wa Spoti, Apr 17
Apr 17, 2017 02:31Karibu tukupashe kwa kina bingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran, matokeo ya Kombe la CAF na msimamo wa Ligi Kuu ya Soka Uingereza........
-
Theresa May; mdau wa mchezo mchafu wa majungu ya kueneza hofu na chuki dhidi ya Iran
Apr 07, 2017 01:42Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amethibitisha kuwa mdau mwenza wa nchi hiyo yaani Marekani haina ilichoizidi London katika upikaji majungu dhidi ya Iran. Katika siku chache zilizopita viongozi wa Marekani wamesikika wakipayuka kuzungumzia kile walichodai kuwa jitihada wanazofanya za kuanzisha muungano wa kieneo baina ya nchi hiyo na tawala za Kiarabu dhidi ya Iran.
-
Spoti Wiki Hii, Apr 3
Apr 03, 2017 02:29Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita.......
-
Uingereza kuanza mchakato wa kujiondoa EU
Mar 20, 2017 11:15Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May mnamo Machi 29 atatia saini nyaraka za kujiondoa rasmi nchi yake katika Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit.