Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uislamu

  • Nowruz Katika Utamaduni na Mafundisho ya Kiislamu

    Nowruz Katika Utamaduni na Mafundisho ya Kiislamu

    Mar 25, 2017 11:41

    Tuko katika siku za awali za mwaka mpya wa Kiirani wa 1396 Hijria Shamsia ambao ulianza Machi 21. Siku za kuanza mwaka mpya wa Kiirani hujulikana kama Nowruz au Nairuzi na huadhimishwa kwa furaha na shangwe kote Iran na nchi zinazozungumza Kifarsi pamoja na mataifa yote ambayo kwa njia moja au nyingine yana uhusiano na ustaarabu na utamaduni wa Iran.

  • Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani apinga vikali suala la kunasibishwa Uislamu na ugaidi

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani apinga vikali suala la kunasibishwa Uislamu na ugaidi

    Feb 19, 2017 14:18

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amekosoa vikali propaganda chafu na hasi zinazofanywa dhidi ya Uislamu pamoja na dini nyingine.

  • Siku ya Hijabu ya Waridi yaadhimishwa nchini Tanzania

    Siku ya Hijabu ya Waridi yaadhimishwa nchini Tanzania

    Feb 04, 2017 16:58

    Sherehe ya kuadhimisha Siku ya Hijabu ya Waridi imefanyika leo mjini Dar es Salaam, Tanzania kwa ushirikiano wa ofisi ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Morocco yaanza kutekeleza mfumo wa Benki za Kiislamu

    Morocco yaanza kutekeleza mfumo wa Benki za Kiislamu

    Jan 05, 2017 04:34

    Serikali ya Morocco imejiunga na mfumo wa Benki za Kiislamu kwa kuanzisha benki tano za Kiislamu nchini humo.

  • SAUTI: Aliyemtukana Mtume Muhammad SAW Zanzibar azidi kulaaniwa

    SAUTI: Aliyemtukana Mtume Muhammad SAW Zanzibar azidi kulaaniwa

    Jan 01, 2017 06:21

    Wiki hii, Waislamu wa visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla wameshtushwa na kulaani vikali kutukanwa Bwana Mtume Muhamma SAW visiwani humo.

  • Nasrullah: Misimamo ya kuchupa mipaka inataka kuchafua taswira halisi ya Uislamu

    Nasrullah: Misimamo ya kuchupa mipaka inataka kuchafua taswira halisi ya Uislamu

    Dec 23, 2016 16:24

    Katibu Mkuu wa Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema harakati za magenge ya kigaidi na kitakfiri yanayofanya jinai za kutisha eneo la Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika hazina mafungamano yoyote na Uislamu na shakhsia wake mbora na mtukufu, Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza

    Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza

    Dec 21, 2016 04:31

    Wimbi na hujuma na propaganda chafu dhidi ya Uislamu limeshika kasi zaidi na kulitia wasiwasi Baraza la Waislamu nchini Uingereza.

  • Mwislamu mwingine auawa Marekani kutokana na chuki za kidini

    Mwislamu mwingine auawa Marekani kutokana na chuki za kidini

    Dec 12, 2016 08:13

    Habari kutoka jimbo la California nchini Marekani zinasema kuwa raia mmoja wa nchi hiyo wa dini ya Kiislamu ameuawa nje ya msikiti katika tukio jingine linalodhihirisha chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.

  • Maana ya Umoja na Mshikamano Baina ya Waislamu

    Maana ya Umoja na Mshikamano Baina ya Waislamu

    Dec 11, 2016 10:50

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nami katika kipindi cha kwanza cha mfululizo wa makala maalumu za Wiki ya Umoja wa Kiislamu zinazokujieni kwa mnasaba wa sherehe za Maulidi na tukio muhimu la kuzaliwa Mtume wa rehma na upendo, Muhammad (saw) katika mwezi huu wa Mfunguo Sita .

  • Jumatano, 30 Novemba, 2016

    Jumatano, 30 Novemba, 2016

    Dec 02, 2016 02:58

    Leo ni Jumatano tarehe 30 Safar 1438 Hijria sawa na 30 Novemba 2016.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS