• Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke

    Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke

    Nov 16, 2016 07:55

    Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu imempa heshima kubwa sana mwanamke na kutukuza nafasi yake muhimu katika jamii.

  • Jumatano, Nov 9, 2016

    Jumatano, Nov 9, 2016

    Nov 09, 2016 02:56

    Leo ni Jumatano tarehe 9 Safar 1438 Hijria sawa na Novemba 9, 2016.

  • Velayati: Ushindi unapatikana chini ya kivuli cha umoja

    Velayati: Ushindi unapatikana chini ya kivuli cha umoja

    Oct 25, 2016 02:59

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu amesema kuwa, mahudhurio makubwa ya maulamaa wa Suni na Shia kutoka nchi mbalimbali katika Mkutano wa Mwamko wa Kiislamu uliofanyika nchini Iraq sambamba na operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwenye makucha ya magaidi wa Daesh ni ujumbe mkubwa kwamba ushindi unapatikana katika kivuli cha umoja na mshikamano wa Waislamu.

  • Amani na Usalama katika Mtazamo wa Uislamu

    Amani na Usalama katika Mtazamo wa Uislamu

    Sep 25, 2016 12:58

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi cha wiki hii cha Makala ya Wiki ambacho kitazungumzia usalama na amani katika mtazamo wa Uislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani.

  • Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Aug 17, 2016 14:06

    Utafiti uliofanywa na kituo cha utafiti cha Pew Research Center cha Marekani umeonyesha kuwa, Uislamu utasalia kuwa dini yenye kukuwa kwa kasi zaidi duniani katika kipindi cha miongo kadhaa ijayo.

  • Papa: Si sahihi kuufananisha Uislamu na utumiaji mabavu

    Papa: Si sahihi kuufananisha Uislamu na utumiaji mabavu

    Aug 01, 2016 07:19

    Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amekosoa propaganda zinazoendeshwa dhidi ya dini ya Uislamu kufuatia mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni huko Ulaya yaliyodaiwa kutekelezwa na magaidi wa kitakfiri wa Daesh na kueleza kuwa, si haki na ni makosa kuufanisha Uislamu na utumiaji mabavu na ugaidi.

  • Jumamosi, Julai 30, 2016

    Jumamosi, Julai 30, 2016

    Jul 30, 2016 02:35

    Leo ni Jumamosi tarehe 25 Mfunguo Mosi Shawwal 1437 Hijria sawa na tarehe 30 Julai mwaka 2016 Miladia.

  • Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Jul 21, 2016 03:48

    Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka nchini Ufaransa na mara hii ni katika mji wa Lyon.

  • Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Jun 17, 2016 14:22

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran ameyatolea mwito mataifa yote ya Waislamu kushikamana na kuwa kitu kimoja mbele ya njama za ustikbari na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya Dini Tukufu ya Uislamu.

  • Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Jun 17, 2016 04:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ivory Coast ametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kusema kuwa Uislamu ni dini ya amani na suluhu.