-
Russia: Wamagharibi hatimaye wataondoka Ukraine
Dec 12, 2023 03:35Mkuu wa Idara ya Ujasusi wa Kigeni ya Russia amesema: "Utawala kibaraka wa Kyiv, ambao ni ngeni kwa watu wengi wa Ukraine na umetekeleza mauaji ya umwagaji damu huko Donbass, Odessa na miji na vijiji vingi vya nchi hiyo, hatimaye utaachwa na kutupiliwa mbali na Wamagharibi."
-
Marekani yakiri kushindwa suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa Ukraine
Dec 05, 2023 02:38Jenerali Charles Brown Jr, Mkuu wa Kamandi ya Pamoja ya Jeshi la Marekani, huku akibainisha kwamba vita daima humalizika kwa makubaliano ya kidiplomasia, amesisitiza kuwa mzozo wa Ukraine hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.
-
Zelensky akosoa upuuzaji wa nchi za Magharibi kwa Ukraine
Dec 02, 2023 10:24Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amezikosoa nchi za Magharibi chini ya uongozi wa Marekani kwa kuisahau Ukraine na kuipunguzia misaada nchi hiyo katika vita na Russia.
-
Sputnik: Asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa nchi ajinabi
Nov 19, 2023 03:08Shirika la habari la Sputnik la Russia limeripoti kuwa matokeo kadhaa ya hujuma za redio katika masafa ya jeshi la Ukraine yanaonyesha kuwa asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa kigeni.
-
Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita
Nov 10, 2023 02:52Msemaji wa Ofisi ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema ni muhali kwa jeshi la Russia kushindwa katika medani ya vita.
-
Hitilafu kati ya Warepublican and White House kuhusu msaada kwa Israel na Ukraine
Nov 05, 2023 02:25Katika hali ambayo serikali ya Biden imetangaza kuunga mkono kikamilifu jinai za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Ghaza na hata kupinga usitishaji vita, lakini suala la msaada wa kifedha kwa Israel ambalo linatiliwa maanani na Warepublican sambamba na mtazamo wa White ambayo inataka kutolewa kwa wakati mmoja misaada ya fedha na silaha kwa Ukraine limezusha hitilafu kubwa kati ya Kongresi na White House.
-
Kiongozi wa upinzani: Zelensky atakuwa rais wa mwisho wa Ukraine
Nov 04, 2023 03:03Kiongozi wa zamani wa upinzani wa Ukraine amekosoa vikali mienendo ya Rais wa nchi hiyo, Volodymyr Zelensky na kusema kuwa, yumkini mwanasiasa huyo atakakuwa rais wa mwisho wa Ukraine.
-
Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan
Oct 22, 2023 03:20Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia amelaani uungaji mkono na misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine na kusema, mara hii pia Marekani itashindwa na kufeli kama ilivyokuwa huko Afghanistan.
-
Russia yaharibu mfumo wa M777 wa Marekani huko Ukraine.
Oct 08, 2023 08:17Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuharibu mfumo wa M777 wa Marekani na wa Crab katika operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine.
-
Wasiwasi wa Biden kuhusu kukatizwa misaada ya Ukraine
Oct 06, 2023 02:48Mvutano wa ndani wa Warepublican umetatiza mazungumzo ya bajeti katika Baraza la Wawakilishi la Marekani umepelekea Ikulu ya White House kuwa na wasiwasi juu ya kuendelea kuunga mkono Kyiv kama kipaumbele kikuu cha siasa za kigeni za utawala wa Biden.