Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Mgogoro wa Ukraine kwa mtazamo wa Hassan Nasrullah; kuporomoka kimaadili Wamagharibi

    Mgogoro wa Ukraine kwa mtazamo wa Hassan Nasrullah; kuporomoka kimaadili Wamagharibi

    Mar 10, 2022 22:59

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuporomoka kimaadili Wamagharibi.

  • Palestina: Mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuwa vigezo vya mfumo wa kimataifa ni vya kibaguzi

    Palestina: Mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuwa vigezo vya mfumo wa kimataifa ni vya kibaguzi

    Mar 10, 2022 08:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema, mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuwa vipimo na vigezo vinavyotumiwa na mfumo wa kimataifa ni vya kibaguzi na undumakuwili.

  • Upinzani dhidi ya uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya

    Upinzani dhidi ya uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya

    Mar 08, 2022 08:00

    Mjumbe mmoja wa ngazi za juu katika bunge la Ujerumani amesema kuwa mkondo wa kuipa Ukraine uanachama katika Umoja wa Ulaya ni hatari kwa maslahi ya umoja huo na kwamba njia bora ni kuipa Ukraine uanachama wa heshima tu.

  • Ukosoaji wa misimamo ya kindumakuwili ya nchi za Kiarabu na Magharibi kuhusu vita vya Yemen na Ukraine

    Ukosoaji wa misimamo ya kindumakuwili ya nchi za Kiarabu na Magharibi kuhusu vita vya Yemen na Ukraine

    Mar 07, 2022 23:20

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Yemen amekosoa vikali mienendo na misimamo ya kiundumakuwili wa baadhi ya nchi za Kiarabu kuhusu vita vya Yemen na Ukraine. Baadhi ya wachambuzi pia wamekosoa misimamo kama hiyo nchi za Magharibi.

  • Ufaransa na UK zalumbana kuhusu wakimbizi wa Ukraine

    Ufaransa na UK zalumbana kuhusu wakimbizi wa Ukraine

    Mar 07, 2022 23:08

    Wimbi la wakimbizi wa Ukraine ambalo linahesabiwa kuwa ni la kasi kubwa zaidi barani Ulaya baada ya Vita vya Pili vya Duniani, limezitumbukiza nchi mbili za Ufaransa na Uingereza katika vita vya maneno na malumbano.

  • Wanaigeria wazuiwa kwenda kupigana vita Ukraine

    Wanaigeria wazuiwa kwenda kupigana vita Ukraine

    Mar 07, 2022 08:58

    Serikali ya Nigeria imesema kuwa haitamruhusu raia wake yoyote kwenda kupigana vita Ukraine baada ya Russia kuishambulai nchi hiyo hivi karibuni.

  • Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Mar 06, 2022 01:19

    Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (SVR) imesema katika taarifa yake ya siku ya Ijumaa kwamba Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh (ISIS) katika kituo cha Al-Tanf nchini Syria ili wapelekwe Ukraine.

  • Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Mar 06, 2022 00:52

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.

  • Spika wa Bunge la Russia: Rais wa Ukraine amekimbilia Poland

    Spika wa Bunge la Russia: Rais wa Ukraine amekimbilia Poland

    Mar 05, 2022 04:02

    Spika wa Bunge la Russia maarufu kwa jina la Duma amesema kuwa, Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amekimbilia nchi jirani ya Poland.

  • Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Mar 04, 2022 09:00

    Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah amekosoa vikali mienendo ghalati ya Marekani katika medani ya kimataifa na kusisitiza kuwa, US ni nembo ya ujahili mamboleo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS