Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • WHO: Ulaya inaingia katika wimbi jipya la maambukizi ya COVID-19

    WHO: Ulaya inaingia katika wimbi jipya la maambukizi ya COVID-19

    Oct 13, 2022 10:51

    Shirika la Afya Duniani (WHO) na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Ulaya (ECDC) zimeonya kuhusu ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 katika nchi za Ulaya, katika kile kilichotajwa ni wimbi jipya la msambao wa maradhi hayo barani humo.

  • IEA: Ulaya inakabiliwa na hatari isiyo ya kawaida ya uhaba wa gesi katika msimu ujao wa baridi kali

    IEA: Ulaya inakabiliwa na hatari isiyo ya kawaida ya uhaba wa gesi katika msimu ujao wa baridi kali

    Oct 03, 2022 10:54

    Shirika la Kimataifa la Nishati IEA limetangaza kwamba kufuatia uamuzi wa Russia wa kusitisha mauzo yake mengi ya gesi kwa Ulaya, bara hilo litakabiliwa na "hatari kubwa isiyo na kifani" ya uhaba wa gesi asilia katika msimu ujao wa baridi kali.

  • Kushadidi ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini Uingereza; kielelezo cha chuki dhidi ya Uslamu barani Ulaya

    Kushadidi ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini Uingereza; kielelezo cha chuki dhidi ya Uslamu barani Ulaya

    Sep 16, 2022 04:01

    Katika muendelezo wa ubaguzi dhidi ya Waislamu wanaoishi nchini Uingereza, vyombo vya habari vimeripoti wiki hii juu ya kuweko mpango wa kupokonywa uraia wa nchi hiyo Waislamu wanaoishi nchini Uingereza na kutangazwa kuwa raia wa daraja la pili.

  • Mgogoro wa nishati wasababisha maandamano katika nchi za Ulaya

    Mgogoro wa nishati wasababisha maandamano katika nchi za Ulaya

    Sep 11, 2022 11:55

    Miji kadhaa ya nchi za Ulaya imeshuhudia maandamano ya kulalamikia ongezeko la bei za nishati, huku mgogoro wa mafuta ya petroli na gesi ukiendelea kuyasumbua mataifa mengi ya bara Ulaya.

  • Mbunge wa Ujerumani: Serikali ya nchi hii ndio 'pumbavu zaidi' barani Ulaya

    Mbunge wa Ujerumani: Serikali ya nchi hii ndio 'pumbavu zaidi' barani Ulaya

    Sep 10, 2022 11:33

    Mwanasiasa wa mrengo wa kushoto nchini Ujerumani ameikosoa vikali serikali ya nchi hiyo kwa kusababisha alichokiita vita 'vibaya' vya kiuchumi dhidi ya Russia.

  • Iran: Tuko tayari kuitatulia Ulaya matatizo yake ya nishati

    Iran: Tuko tayari kuitatulia Ulaya matatizo yake ya nishati

    Sep 05, 2022 11:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imehifadhi hisa yake katika soko la nishati licha ya vikwazo, lakini inaweza kuwa na mchango mkubwa katika kupatia suluhu mgogoro wa niashati unaolikabili bara Ulaya.

  • Mzozo mpya wa Russia na Magharibi kuhusu nishati

    Mzozo mpya wa Russia na Magharibi kuhusu nishati

    Sep 04, 2022 03:38

    Mawaziri wa fedha wa nchi saba zilizoendelea kiviwanda duniani, zinazojulikana kama G7, walikubaliana Ijumaa, Septemba 2, katika mkutano uliofanyika kwa njia ya video, kuweka mipaka ya bei kwa mauzo ya mafuta ya Russia.

  • Kan'ani: Iran imepokea jibu la Marekani

    Kan'ani: Iran imepokea jibu la Marekani

    Aug 25, 2022 03:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa Iran imepokea jibu la serikali ya Marekani kuhusu mitazamo ya Iran kuhusu kutatua masuala yaliyosalia katika mazungumzo ya kuondoa vikwazo.

  • Mgogoro wa nishati kuilazimisha Ulaya kutumia mkaa zaidi

    Mgogoro wa nishati kuilazimisha Ulaya kutumia mkaa zaidi

    Aug 24, 2022 04:18

    Aghalabu ya nchi za Ulaya zitalazimika kutumia zaidi nishati ya mkaa katika msimu wa baridi kali unaolijongelea bara hilo, huku mgogoro wa nishati katika bara hilo ukishtadi.

  • Russia: Hatuna nia ya kuzikatia gesi kikamilifu nchi za Ulaya

    Russia: Hatuna nia ya kuzikatia gesi kikamilifu nchi za Ulaya

    Jul 26, 2022 02:28

    Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema kuwa, Moscow haina nia ya kuzikatia kikamilifu gesi yake nchi za Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS