Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Mwisho wa Ulimwengu wa Kikristo

    Mwisho wa Ulimwengu wa Kikristo"... Je, nchi za Magharibi zinarudi kwenye upagani?

    Jul 25, 2022 11:30

    Mwandishi na mwanafalsafa wa Ufaransa, Chantal Delsol anasema kwamba ustaarabu unaotegemea mila na sheria za imani ya Kikristo umenyauka tangu mwisho wa karne ya 20, kwa sababu Ukristo unazidi kutoweka kama marejeo makuu ya sheria, desturi na maadili, baada ya kkutawala Uulaya na Magharibi kwa karibu karne 16.

  • Juhudi za G7 za kukabiliana kiuchumi na China

    Juhudi za G7 za kukabiliana kiuchumi na China

    Jun 29, 2022 02:18

    Viongozi wa mataifa saba yaliyoendelea kiviwanda, G7, wameafiki kuzindua mpango kabambe wa kuwekeza katika miundo msingi kwenye nchi zinazoendelea. Viongozi hao wametangaza kuwa, nchi za G7 zinakusudia kutenga dola bilioni 600 kwa ajili ya mpango huo ifikapo 2027.

  • Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Jun 18, 2022 11:29

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ukoloni mamboleo ndio umesababisha migogoro wa kibinadamu inayoshuhudiwa katika sehemu mbalimbali duniani; na kwamba Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazopaswa kubebeshwa dhima iwapo dunia itatumbukia kwenye baa la njaa.

  • Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa azimio la US, EU lililopasishwa na IAEA dhidi yetu

    Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa azimio la US, EU lililopasishwa na IAEA dhidi yetu

    Jun 09, 2022 23:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA cha kupasisha azimio dhidi ya Tehran na kusisitiza kuwa, taifa hili litatoa jibu mwafaka na madhubuti kwa hatua hiyo.

  • Medvedev: Russia iko kwenye vita vinavyopiganwa kwa niaba ya Marekani na Ulaya

    Medvedev: Russia iko kwenye vita vinavyopiganwa kwa niaba ya Marekani na Ulaya

    Jun 04, 2022 04:07

    Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema, nchi yake iko kwenye vita vinavyopiganwa kwa niaba ya Marekani na Ulaya na akasisitiza kuwa kuna ulazima wa kuzuia kutokea vita vya atomiki.

  • Licha ya kuonesha uadui mkubwa, Ulaya yaendelea kutumia gesi ya Russia kupitia Ukraine

    Licha ya kuonesha uadui mkubwa, Ulaya yaendelea kutumia gesi ya Russia kupitia Ukraine

    May 30, 2022 04:11

    Licha ya kwamba nchi za Ulaya zinaendelea kuchukua hatua kali za kiuadui dhidi ya Russia na kuzilazimisha nchi nyingine kufuata siasa zao dhidi ya Moscow, lakini nchi hizo za Ulaya zimeshindwa kuacha kutumia gesi ya Russia.

  • Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    May 27, 2022 02:23

    Awamu ya tatu ya mazungumzo ya kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Italia ilifanyika siku ya Jumanne mjini Tehran, chini ya uenyekiti wa Ali Bagheri, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisiasa na Ettore Plato, Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia.

  • Njama za Magharibi za kuanzisha NATO ya dunia nzima

    Njama za Magharibi za kuanzisha NATO ya dunia nzima

    May 18, 2022 09:28

    Katika hali ambayo suala la uwanachama wa nchi mbalimbali hasa Ukraine katika Jeshi la Nchi za Magharibi NATO limeitumbukiza dunia kwenye mgogoro wa kimataifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameona kama hiyo haitoshi na hivi sasa amezungumzia wajibu wa kuweko mkataba wa NATO ya dunia nzima.

  • Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    May 05, 2022 02:15

    Ikulu ya Kremlin imetangaza Jumanne kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia ametia saini amri ya kukabiliana na 'hatua zisizo za kirafiki za baadhi ya nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa." Dikrii hiyo inasisitiza hatua za kulipiza kisasi dhidi ya nchi ambazo zimetajwa kuwa 'zisizo za kirafiki'. Kwa mujibu wa amri hiyo Russia itaziwekea vikwazo baadhi ya nchi na taasisi za kimataifa.

  • Russia yawakatia gesi Wapoland, sarafu za Euro na Pound ya Uingereza zaporomoka

    Russia yawakatia gesi Wapoland, sarafu za Euro na Pound ya Uingereza zaporomoka

    Apr 28, 2022 02:49

    Sarafu za Euro na Pound ya Uingereza zimeporomoka thamani yake baada ya Russia kuamua kuzikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria kutokana na kufuata kwao kibubusa siasa za Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS