-
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na kufukuzwa afisa wake nchini Sudan
May 23, 2016 02:56Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kitendo cha Sudan cha kukataa kumuongezea muda wa iqama na kibali cha kuishi afisa mmoja wa ngazi za juu wa umoja huo, kina maana ya kumfukuza nchini humo.
-
Mivutano ya kisiasa Kongo yautia wasiwasi Umoja wa Mataifa
May 23, 2016 02:45Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameelezea wasiwasi wa umoja huo kufuatia kuongezeka mizozo ya kisiasa nchini humo.
-
Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais
May 22, 2016 11:51Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Balozi wa Kenya UN ateuliwa kuwa mjumbe wa Ban Ki-moon kuhusu El Nino na mabadiliko ya tabianchi
May 21, 2016 23:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amewateua Balozi Macharia Kamau wa Kenya na Bi. Mary Robinson wa Ireland kuwa wajumbe wake maalumu kuhusu masuala ya El Niño na mabadiliko ya tabianchi.
-
UN: Tunasikitishwa na kuongezeka jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
May 21, 2016 11:28Umoja wa Mataifa umeelezea kusikitishwa kwake na ongezeko la jinai za Israel dhidi ya Wapalestina.
-
UN yalaani kuuawa askari wake wa kulinda amani Mali
May 20, 2016 11:55Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani mauaji ya askari watano wa kulinda amani wa Umoja huo nchini Mali ambao walipoteza maisha kufuatia hujuma ya kigaidi.
-
Umoja wa Mataifa: Mgogoro wa wakimbizi ni wa dunia nzima
May 16, 2016 23:50Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya wakimbizi amesema kuwa, mgogoro wa wakimbizi ni tatizo la dunia nzima.
-
UN: Mamilioni ya watu wanahitajia misaada ya chakula katika eneo la Ziwa Chad
May 16, 2016 23:46Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mamilioni ya watu katika eneo la Ziwa Chad barani Afrika wanahitajia misaada ya chakula.
-
DRC: Madai kuwa tumepokea silaha kutoka Korea Kaskazini ni kichekesho
May 16, 2016 03:20Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imepuuzilia mbali ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa iliyodai kuwa nchi hiyo imekuwa ikipokea silaha kutoka Korea Kaskazini.
-
UN: Jeshi la DRC liliwasaidia waasi wa Uganda kuua Wakongomani
May 15, 2016 09:31Ripoti ya siri ya Baraza la Usalama la Umoja wa Matafa imefichua kuwa, kamanda mwandamizi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alifadhili na kulipa silaha kundi la waasi wa Uganda la ADF kuua raia wa nchi hiyo.