Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Ripoti ya Ahmad Shahidi; ni ripoti yenye malengo ya kisiasa

    Ripoti ya Ahmad Shahidi; ni ripoti yenye malengo ya kisiasa

    Mar 12, 2016 10:15

    Ahmad Shahid Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekariri tena ripoti yake ya kila mwaka kuhusu Iran.

  • UN yaitaka Guinea-Bissau kuheshimu sheria

    UN yaitaka Guinea-Bissau kuheshimu sheria

    Mar 08, 2016 11:04

    Ujumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa umewataka viongozi wa kisiasa nchini Guinea-Bissau kuheshimu sheria.

  • Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia nchini Kongo

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia nchini Kongo

    Mar 05, 2016 22:24

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia kujiri machafuko kupita kiasi nchini humo.

  • Ripoti: Walinda amani wa UN kutoka nchi 21 wahusishwa na kashfa ya ngono

    Ripoti: Walinda amani wa UN kutoka nchi 21 wahusishwa na kashfa ya ngono

    Mar 04, 2016 04:20

    Umoja wa Mataifa unakabiliwa na hali ngumu inayotishia kuondoa imani ya watu duniani kwa walinda amani wa umoja huo.

  • Sisitizo juu ya ulazima wa kuundwa haraka iwezekanavyo serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Sisitizo juu ya ulazima wa kuundwa haraka iwezekanavyo serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Mar 03, 2016 09:42

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya amesisitiza juu ya ulazima wa kuundwa haraka serikali ya umoja wa kitaifa huko Libya.

  • UN: 50,000 wameuawa katika mapigano ya Sudan Kusini tangu 2013

    UN: 50,000 wameuawa katika mapigano ya Sudan Kusini tangu 2013

    Mar 03, 2016 09:39

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 50,000 wameuawa katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • Askari wa UN waanza tena kushirikiana na askari wa Congo

    Askari wa UN waanza tena kushirikiana na askari wa Congo

    Mar 03, 2016 04:52

    Askari wa kulinda amani na Umoja wa Mataifa wataanza tena kushirikiana na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika maenero yenye ghasia na machafuko mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mwanadiplomasia wa UN akosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia

    Mwanadiplomasia wa UN akosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia

    Mar 02, 2016 10:41

    Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wanawake (UN Women) amekosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia na kusema ni muhali kwa sauti za wanawake kusikika vyema kutokana na uwakilishi wao mdogo bungeni.

  • Wasiwasi kuhusiana na kutiwa nguvuni wapinzani wa serikali ya DRC

    Wasiwasi kuhusiana na kutiwa nguvuni wapinzani wa serikali ya DRC

    Feb 26, 2016 23:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema anatiwa wasiwasi na kutiwa nguvuni baadhi ya wapinzani wa kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na mbinyo wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo.

  • UN: Kuna ushahidi wa jinai za kivita Libya

    UN: Kuna ushahidi wa jinai za kivita Libya

    Feb 26, 2016 12:46

    Umoja wa Mataifa umesema wahusika wote katika mgogoro wa Libya wametenda jina za kivita pamoja na ukiukaji mwingine wa haki za binadamu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS