Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Msomi Myahudi akosoa vikali UN kushindwa kuchukua hatua juu ya Ghaza kutokana na kura za veto

    Msomi Myahudi akosoa vikali UN kushindwa kuchukua hatua juu ya Ghaza kutokana na kura za veto

    Mar 21, 2024 22:56

    Mtengenezaji filamu mashuhuri wa Kiyahudi Haim Bresheeth, ambaye pia ni mpiga picha na msomi mtajika amekosoa vikali Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kushindwa kuchukua hatua katika mzozo wa utawala wa Kizayuni wa Israel na Palestina kutokana na kura ya turufu inayoshikiliwa na wanachama wake watano wa kudumu.

  • UN: Wahalifu wanachuma dola bilioni 236 kila mwaka kwa biashara ya ngono na utumwa

    UN: Wahalifu wanachuma dola bilioni 236 kila mwaka kwa biashara ya ngono na utumwa

    Mar 20, 2024 08:02

    Utumikishaji binadamu kwenye sekta ya uchumi binafsi ikiwemo biashara ya ngono, viwandani na kwenye mashamba huingiza dola bilioni 236 za faida isiyo halali kila mwaka. Hayo yameelezwa katika ripoti mpya na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi Duniani, ILO.

  • Iran yalaani vikwazo vya upande mmoja vya Magharibi dhidi ya mataifa huru

    Iran yalaani vikwazo vya upande mmoja vya Magharibi dhidi ya mataifa huru

    Mar 14, 2024 10:43

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika makao makuu ya Umoja wa Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesema: Vikwazo vya upande mmoja vimepelekea kukithiri machafuko ya kibinadamu kote duniani.

  • Ripota wa UN: Israel imeua watoto wengi zaidi Ukanda wa Gaza miezi mitano iliyopita

    Ripota wa UN: Israel imeua watoto wengi zaidi Ukanda wa Gaza miezi mitano iliyopita

    Mar 14, 2024 03:40

    Francesca Alnanese Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina alisema jana katika ripoti kali iliyowasilishwa kwa umoja huo kuwa Israel imeua watoto wengi zaidi katika Ukanda wa Gaza katika kipindi cha miezi mitano iliyopita.

  • Mtaalamu wa UN: Mpango wa Biden wa kujenga bandari Ghaza ni wa 'maonyesho' ya uchaguzi

    Mtaalamu wa UN: Mpango wa Biden wa kujenga bandari Ghaza ni wa 'maonyesho' ya uchaguzi

    Mar 09, 2024 03:50

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa Haki amepuuzilia mbali mpango wa Rais wa Marekani wa kuanzisha bandari inayodaiwa kuwa na lengo la kuwezesha kuingizwa misaada katika Ukanda wa Ghaza, ulioteketezwa kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vikungwa mkono kwa hali na mali na serikali ya Washington.

  • Iran yaiambia UN: Tuna haki halali ya kujibu vitisho vya Israel

    Iran yaiambia UN: Tuna haki halali ya kujibu vitisho vya Israel

    Mar 08, 2024 04:38

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ina kila haki na uhalali wa kuchukua hatua zote inazoweza kujibu uchokozi na tishio lolote kutoka utawala wa Israel dhidi ya usalama wake wa taifa na maslahi ya nchi hii.

  • China yaunga mkono Palestina kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa

    China yaunga mkono Palestina kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa

    Mar 07, 2024 08:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema nchi yake inaunga mkono Palestina kupewa uanachama "kamili" wa Umoja wa Mataifa na kuongeza kuwa takwa la muda mrefu la watu wa Palestina la kuanzisha nchi yao huru haliwezi kuepukika tena.

  • Ukosoaji wa UN wa mashambulizi ya makusudi ya Israel dhidi ya misafara ya misaada huko Gaza

    Ukosoaji wa UN wa mashambulizi ya makusudi ya Israel dhidi ya misafara ya misaada huko Gaza

    Mar 06, 2024 08:01

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki ya Chakula ametangaza kwamba, jeshi la Israel linashambulia kwa makusudi misafara ya misaada ya kibinadamu huko Gaza licha ya kujua njia za misafara hiyo.

  • HAMAS yaitoa maanani ripoti ya UN ya madai ya 'ukatili wa kingono' katika Operesheni ya Oktoba 7

    HAMAS yaitoa maanani ripoti ya UN ya madai ya 'ukatili wa kingono' katika Operesheni ya Oktoba 7

    Mar 06, 2024 00:08

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekanusha madai yaliyomo kwenye ripoti ya Umoja wa Mataifa inayodai kwamba wapiganaji wa harakati hiyo ya muqawama wa Palestina walifanya "ukatili wa kingono" wakati wa operesheni ya mashambulio waliyotekeleza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel mnamo Oktoba 7, 2023.

  • Indhari ya asasi za kimataifa kuhusu kushtadi njaa na umasikini nchini Afghanistan

    Indhari ya asasi za kimataifa kuhusu kushtadi njaa na umasikini nchini Afghanistan

    Mar 05, 2024 22:44

    Kupungua kwa misaada ya kimataifa nchini Afghanistan kumepelekea kushadidi umaskini na njaa katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS