Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Wasiwasi wa makamanda wa Marekani kutokana na vita tarajiwa vya Rais Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    Wasiwasi wa makamanda wa Marekani kutokana na vita tarajiwa vya Rais Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    Mar 03, 2018 04:09

    Katika kikao maalumu na baada ya kuchunguza athari za mashambulizi tarajiwa ya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini, makamanda wa jeshi la nchi hiyo wamesema kuwa, katika saa za mwanzo za mashambulizi hayo kwa akali askari elfu 10 wa Marekani watakuwa wameuawa.

  • Ijumaa tarehe Pili Machi, 2018

    Ijumaa tarehe Pili Machi, 2018

    Mar 01, 2018 23:05

    Leo ni Ijumaa tarehe 13 Jamadithani 1439 Hijria sawa na Pili Machi 2018.

  • Iran: Marekani inawasaidia wavamizi wa Yemen

    Iran: Marekani inawasaidia wavamizi wa Yemen

    Feb 27, 2018 04:27

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, madai ya kukaririwa na ya kuchosha ya mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi Iran ni msaada kwa wavamizi wa Yemen.

  • Mwakilishi wa UN Burundi aeleza wasiwasi kuhusu hali ya ndani nchini humo

    Mwakilishi wa UN Burundi aeleza wasiwasi kuhusu hali ya ndani nchini humo

    Feb 27, 2018 03:35

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi ameliambia Baraza la Usalama la umoja huo kwamba mgogoro wa nchi hiyo unatia wasiwasi.

  • UN yasema itaendelea kuunga mkono mapambano dhidi ya al-Shabaab Somalia

    UN yasema itaendelea kuunga mkono mapambano dhidi ya al-Shabaab Somalia

    Feb 25, 2018 11:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sambamba na kulaani mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni yaliyoua makumi ya watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, amesisitiza kuwa umoja huo utaendelea kuunga mkono jitihada za kulitokomeza kundi la kigaidi na la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • UN yaendelea kuandamwa na kashfa za kijinsia

    UN yaendelea kuandamwa na kashfa za kijinsia

    Feb 23, 2018 21:20

    Mkurugenzi mtendaji wa mpango wa kudhibiti UKIMWI wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, naibu wa mkuu wa ofisi hiyo amelazimika kujiuzulu kutokana na tuhuma za kimaadili zinazomkabili.

  • UN yakosoa ukandamizaji wa waandishi habari Sudan Kusini

    UN yakosoa ukandamizaji wa waandishi habari Sudan Kusini

    Feb 23, 2018 00:22

    Umoja wa Mataifa umekosoa mienendo na hatua zinazochukuliwa na serikali ya Sudan Kusini dhidi ya waandishi wa habari.

  • UN: Thuluthi moja ya Warundi wanahitaji misaada ya kibinadamu

    UN: Thuluthi moja ya Warundi wanahitaji misaada ya kibinadamu

    Feb 21, 2018 04:10

    Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesema mtu mmoja kwa kila raia watatu wa Burundi atahitaji misaada ya kibinadamu mwaka huu, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 20 ikilinganishwa na mwaka jana 2017.

  • Umoja wa Mataifa waonyesha matumaini ya kufikiwa makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa waonyesha matumaini ya kufikiwa makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Feb 16, 2018 04:15

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Sudan Kusini ameeleza matarajio yake juu ya kufikiwa makubaliano ya amani ya kuhitimisha machafuko nchini humo katika mazungumzo yanayoendelea hivi sasa mjini Addis Abab, Ethiopia.

  • Guterres: Kuijenga upya Iraq kunahitajia umoja wa kitaifa

    Guterres: Kuijenga upya Iraq kunahitajia umoja wa kitaifa

    Feb 14, 2018 13:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono ubunifu wa kila namna uliotolewa kuhusu kuijenga upya Iraq na kusisitiza kuwa, ujenzi mpya wa nchi hiyo iliyoharibiwa vibaya na vita unahitajia umoja wa kitaifa kati ya watu wa matabaka yote nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS