Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Amnesty: EU kutositisha ushirikiano na Israel ni usaliti kwa taifa la Palestina

    Amnesty: EU kutositisha ushirikiano na Israel ni usaliti kwa taifa la Palestina

    Jul 16, 2025 09:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kushindwa kwa Umoja wa Ulaya kusimamisha makubaliano yake ya ushirikiano na utawala wa Israel ni usaliti wa kikatili kwa taifa la Palestina.

  • Ripota Maalumu wa UN aihimiza EU isimamishe ushirika wake na Israel

    Ripota Maalumu wa UN aihimiza EU isimamishe ushirika wake na Israel

    Jul 16, 2025 07:53

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, Francesca Albanese, ameuhimiza Umoja wa Ulaya usitishe makubaliano ya ushirikiano na utawala wa kizayuni wa Israel, akisema EU ina wajibu wa kisheria wa kutekeleza sheria za kimataifa.

  • Trump ashadidisha vita vya kibiashara dhidi ya Mexico, EU

    Trump ashadidisha vita vya kibiashara dhidi ya Mexico, EU

    Jul 13, 2025 06:04

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuziwekea bidhaa zinazoingia nchini humo kutoka Mexico na Umoja wa Ulaya ushuru wa asilimia 30 kuanzia Agosti Mosi.

  • Kwa nini mizozo ya madola ya Ulaya kuhusu jinsi ya kukabiliana na vita vya ushuru vya Trump imeongezeka?

    Kwa nini mizozo ya madola ya Ulaya kuhusu jinsi ya kukabiliana na vita vya ushuru vya Trump imeongezeka?

    Jul 08, 2025 13:29

    Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine tena ameibua vita vya kibiashara na ulimwengu kwa kutangaza kwamba, ataamua kiwango cha ushuru wa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje kwa kutuma barua kwa nchi 12 kuanzia Jumatatu ya jana, Julai 7.

  • EU kuchunguza uwezekano wa kuweka vikwazo dhidi ya Israel

    EU kuchunguza uwezekano wa kuweka vikwazo dhidi ya Israel

    Jul 06, 2025 03:16

    Umoja wa Ulaya unatazamiwa kuchunguza suala la kuweka vikwazo dhidi ya maafisa wa utawala ghasibu wa Israel na walowezi wa Kizayuni na kupiga marufuku uuzaji wa silaha kwa utawala huo kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya

    Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya

    Jul 05, 2025 03:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Sayyid Abbas Araghchi ametoa jibu thabiti kwa kauli ya hivi majuzi ya Kaja Kallas, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, kwamba mazungumzo yoyote yale yatakayofanyika, lengo lake liwe ni "kufuta moja kwa moja mpango wa nyuklia wa Iran".

  • Iran: EU ikishinikiza turejeshewa vikwazo vya UN, tutajitoa NPT

    Iran: EU ikishinikiza turejeshewa vikwazo vya UN, tutajitoa NPT

    Jun 12, 2025 02:53

    Iran imeonya kwamba, huenda ikatumia haki yake ya kisheria ya kujiondoa kwenye Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) ikiwa mataifa ya Ulaya yataendelea na jaribio lisilo na msingi wa kisheria la kuamilisha mchakato wa kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Austria, nchi ya EU yashuhudia ongezeko la wasiojua kusoma, kuandika

    Austria, nchi ya EU yashuhudia ongezeko la wasiojua kusoma, kuandika

    Jun 01, 2025 07:05

    Karibu thuluthi moja ya watu nchini Austria wana uwezo mdogo wa kusoma, jambo linaloashiria ongezeko la kuogofya la watu wasiojua kusoma na kuandika nchini humo, ofisi ya takwimu za serikali ya nchi hiyo ya Umoja wa Ulaya imesema.

  • Trump aitishia EU kwa ushuru wa forodha wa 50%

    Trump aitishia EU kwa ushuru wa forodha wa 50%

    May 24, 2025 06:51

    Rais wa Marekani Donald Trump amependekeza "ushuru wa moja kwa moja wa 50%" kwa nchi zote za Umoja wa Ulaya, akitaja nakisi ya biashara ya dola milioni 250 kila mwaka na umoja huo. Amependekeza kuwa kiwango hicho kipya cha ushuru kianze kutekelezwa Juni 1.

  • Umoja wa Ulaya kutazama upya mkataba wa ushirikiano wake na Israel

    Umoja wa Ulaya kutazama upya mkataba wa ushirikiano wake na Israel

    May 23, 2025 02:40

    Kufuatia kushadidi jinai za utawala wa kibaguzi wa Israel huko Gaza na kuibuliwa mzozo wa kibinadamu usio na mfano wake katika ukanda huo unaozingirwa, Umoja wa Ulaya umeanza kufanyia marekebisho makubwa mapatano ya biashara na ushirikiano kati yake na Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS