Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya

    Ukosoaji mkali wa Venezuela dhidi ya Ulaya

    Oct 15, 2017 07:45

    Viongozi wa serikali ya Venezuela wamekosoa vikali juhudi za Umoja wa Ulaya na Marekani za kutaka kuufanya uchaguzi wa kieneo nchini humo kutokuwa na itibari.

  • Nchi tano muhimu za Ulaya zampinga Trump kuhusu JCPOA

    Nchi tano muhimu za Ulaya zampinga Trump kuhusu JCPOA

    Oct 05, 2017 00:46

    Maafisa waandamizi wa nchi tano za Ulaya wamesisitiza kuwa nchi zao zitaendelea kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwani ni makubaliano ya kimataifa kama ambavyo wamesisitiza pia kuwa nchi zao zitaendelesha kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga tofauti.

  • "Sera kuu ya Iran ni kupambana na ugaidi, kutekeleza JCPOA na kuimarisha uhusiano na EU"

    Oct 04, 2017 01:09

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inatoa kipaumbele kwa kadhia ya kupambana na ugaidi pamoja na kudumisha makubaliano ya kihistoria ya nyuklia yanayojulikana kama JCPOA.

  • Umoja wa Ulaya wapinga kura ya maoni ya Kurdistan na kusisitizia umoja wa ardhi nzima ya Iraq

    Umoja wa Ulaya wapinga kura ya maoni ya Kurdistan na kusisitizia umoja wa ardhi nzima ya Iraq

    Sep 27, 2017 06:24

    Umoja wa Ulaya umepinga chokochoko zilizofanywa na baadhi ya Wakurdi wa Iraq za kuitisha kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan na ardhi nyingine ya nchi hiyo na umesisitizia wajibu wa kulindwa umoja wa ardhi nzima ya Iraq.

  • EU yaunga mkono kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya JCPOA

    EU yaunga mkono kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya JCPOA

    Sep 13, 2017 10:28

    Umoja wa Ulaya (EU) umeunga mkono kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Kushtadi hatua dhidi ya wahajiri, Ulaya Mashariki

    Kushtadi hatua dhidi ya wahajiri, Ulaya Mashariki

    Sep 03, 2017 06:41

    Katika hatua ya kutekeleza siasa zake dhidi ya uhajiri, serikali ya Hungary imeutaka Umoja wa Ulaya kulipa nusu ya gharama za kuanzishwa mzingiro wa kimpaka wa nchi hiyo kwa lengo la kuwazuia wahajiri kuingia nchini humo.

  • EU yasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya JCPOA

    EU yasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya JCPOA

    Aug 29, 2017 02:58

    Kwa mara nyingine tena Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na ahadi zake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina yake na kundi la 5+1 yanayofahamika kama JCPOA na kusisitizia udharura wa kuheshimiwa hati hiyo.

  • EU yazitaka pande zote kuheshimu sheria nchini Kenya

    EU yazitaka pande zote kuheshimu sheria nchini Kenya

    Aug 11, 2017 11:23

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa unafuatilia kwa makini mwenendo wa uchaguzi wa hivi karibuni huko Kenya.

  • Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia

    Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia

    Aug 10, 2017 23:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel amesema kuhusu vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia kwamba, hatua mpya za Marekani za kutaka kuibana zaidi Russia zinaweza kusababisha matatizo katika umoja wa nchi za Magharibi kuhusu mgogoro wa Ukraine.

  • Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya

    Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya

    Aug 09, 2017 22:31

    Shirika la kimataifa la misaada ya kibinadamu la Oxfam lenye makao yake mjini London limeutahadharisha Umoja wa Ulaya kuhusu hatua yake ya kuwazuia wahajiri wanaotoka Libya kuingia barani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS