-
"Sera kuu ya Iran ni kupambana na ugaidi, kutekeleza JCPOA na kuimarisha uhusiano na EU"
Oct 04, 2017 01:09Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inatoa kipaumbele kwa kadhia ya kupambana na ugaidi pamoja na kudumisha makubaliano ya kihistoria ya nyuklia yanayojulikana kama JCPOA.
-
Umoja wa Ulaya wapinga kura ya maoni ya Kurdistan na kusisitizia umoja wa ardhi nzima ya Iraq
Sep 27, 2017 06:24Umoja wa Ulaya umepinga chokochoko zilizofanywa na baadhi ya Wakurdi wa Iraq za kuitisha kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan na ardhi nyingine ya nchi hiyo na umesisitizia wajibu wa kulindwa umoja wa ardhi nzima ya Iraq.
-
EU yaunga mkono kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya JCPOA
Sep 13, 2017 10:28Umoja wa Ulaya (EU) umeunga mkono kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Kushtadi hatua dhidi ya wahajiri, Ulaya Mashariki
Sep 03, 2017 06:41Katika hatua ya kutekeleza siasa zake dhidi ya uhajiri, serikali ya Hungary imeutaka Umoja wa Ulaya kulipa nusu ya gharama za kuanzishwa mzingiro wa kimpaka wa nchi hiyo kwa lengo la kuwazuia wahajiri kuingia nchini humo.
-
EU yasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya JCPOA
Aug 29, 2017 02:58Kwa mara nyingine tena Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na ahadi zake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina yake na kundi la 5+1 yanayofahamika kama JCPOA na kusisitizia udharura wa kuheshimiwa hati hiyo.
-
EU yazitaka pande zote kuheshimu sheria nchini Kenya
Aug 11, 2017 11:23Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa unafuatilia kwa makini mwenendo wa uchaguzi wa hivi karibuni huko Kenya.
-
Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia
Aug 10, 2017 23:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel amesema kuhusu vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia kwamba, hatua mpya za Marekani za kutaka kuibana zaidi Russia zinaweza kusababisha matatizo katika umoja wa nchi za Magharibi kuhusu mgogoro wa Ukraine.
-
Oxfam yatahadharisha kuhusu madhara ya kuwazuia wahajiri kuingia Ulaya
Aug 09, 2017 22:31Shirika la kimataifa la misaada ya kibinadamu la Oxfam lenye makao yake mjini London limeutahadharisha Umoja wa Ulaya kuhusu hatua yake ya kuwazuia wahajiri wanaotoka Libya kuingia barani humo.
-
Kutekelezwa vikwazo mpya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Aug 06, 2017 23:14Umoja wa Ulaya umeanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Russia kuhusiana na mzozo wa peninsula ya Crimea.
-
Suala la Brexit laendelea kuzusha mivutano na hitilafu katika serikali ya Uingereza
Jul 31, 2017 09:50Hitilafu kati ya mawaziri wa serikali ya Uingereza kuhusu suala la kujiondoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit) zimeendelea kutokota baada ya Waziri wa Biashara ya Kimataifa wa nchi hiyo kupinga wazo lililotolewa na Waziri wa Fedha kwamba kuna ulazima wa kuainisha kipindi cha mpito nchini humo.