Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • UN na EU zalaani shambulizi la kigaidi katika soko nchini Somalia

    UN na EU zalaani shambulizi la kigaidi katika soko nchini Somalia

    Nov 28, 2016 12:35

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimelaani shambulizi la kigaidi lililotokea katika soko la mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Umoja wa Ulaya, mshirika wa Israel katika kutenda jinai dhidi ya Wapalestina

    Umoja wa Ulaya, mshirika wa Israel katika kutenda jinai dhidi ya Wapalestina

    Nov 22, 2016 03:51

    Wawakilishi wa zaidi ya wafanyakazi milioni tatu barani Ulaya wamelaani ushirikiano wa umoja huo na Israel katika kutenda jinai dhidi ya watu wanaoendelea kudhulumiwa wa Palestina.

  • Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Nov 19, 2016 04:21

    Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.

  • Kukasirishwa nchi za Magharibi na uamuzi wa Russia wa kujitoa ICC

    Kukasirishwa nchi za Magharibi na uamuzi wa Russia wa kujitoa ICC

    Nov 18, 2016 23:18

    Hatua ya Russia ya kutangaza kujitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imezikasirisha nchi za Magharibi za Ulaya na Marekani.

  • Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Nov 14, 2016 04:34

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 hayawezi kubatilishwa na serikali moja kwa kuwa yana baraka kamili ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo

    Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo

    Nov 13, 2016 12:44

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Umoja wa Ulaya unafanya njama ya kuishinikiza nchi yake iachane na mchakato wa kujiunga na umoja huo.

  • Mazungumzo ya Iran na Umoja wa Ulaya na fursa zilizopo

    Mazungumzo ya Iran na Umoja wa Ulaya na fursa zilizopo

    Nov 10, 2016 23:52

    Maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya wamekutana mjini Brussels Ubelgiji na kufanya mazungumzo kuhusiana na mambo muhimu yanayolihusu eneo la Mashariki ya Kati pamoja na masuala ya pande mbili.

  • Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Oct 13, 2016 04:30

    Rais Idris Deby wa Chad amesema ili kulipatia ufumbuzi jinamizi la wahajiri kumiminika barani Ulaya, sharti Umoja wa Ulaya uwahusishe viongozi wa Afrika katika mikakati yake ya kukomesha wimbi hilo la wahamiaji haramu.

  • Iran yakosoa waraka wa Bunge la Umoja wa Ulaya

    Iran yakosoa waraka wa Bunge la Umoja wa Ulaya

    Oct 08, 2016 04:45

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa waraka ambao utachunguzwa na Bunge la Umoja wa Ulaya kuhusu mustakabali wa uhusiano wa umoja huo na Iran.

  • Erdogan: EU iwe imeijumuisha Uturuki kufikia mwisho wa mwezi huu

    Erdogan: EU iwe imeijumuisha Uturuki kufikia mwisho wa mwezi huu

    Oct 02, 2016 04:50

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameupa Umoja wa Ulaya hadi mwisho wa mwezi huu uwe umekamilisha mchakato wa nchi hiyo kujiunga na EU.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS