-
UN na EU zalaani shambulizi la kigaidi katika soko nchini Somalia
Nov 28, 2016 12:35Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimelaani shambulizi la kigaidi lililotokea katika soko la mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Umoja wa Ulaya, mshirika wa Israel katika kutenda jinai dhidi ya Wapalestina
Nov 22, 2016 03:51Wawakilishi wa zaidi ya wafanyakazi milioni tatu barani Ulaya wamelaani ushirikiano wa umoja huo na Israel katika kutenda jinai dhidi ya watu wanaoendelea kudhulumiwa wa Palestina.
-
Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo
Nov 19, 2016 04:21Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.
-
Kukasirishwa nchi za Magharibi na uamuzi wa Russia wa kujitoa ICC
Nov 18, 2016 23:18Hatua ya Russia ya kutangaza kujitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imezikasirisha nchi za Magharibi za Ulaya na Marekani.
-
Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA
Nov 14, 2016 04:34Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 hayawezi kubatilishwa na serikali moja kwa kuwa yana baraka kamili ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo
Nov 13, 2016 12:44Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Umoja wa Ulaya unafanya njama ya kuishinikiza nchi yake iachane na mchakato wa kujiunga na umoja huo.
-
Mazungumzo ya Iran na Umoja wa Ulaya na fursa zilizopo
Nov 10, 2016 23:52Maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya wamekutana mjini Brussels Ubelgiji na kufanya mazungumzo kuhusiana na mambo muhimu yanayolihusu eneo la Mashariki ya Kati pamoja na masuala ya pande mbili.
-
Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri
Oct 13, 2016 04:30Rais Idris Deby wa Chad amesema ili kulipatia ufumbuzi jinamizi la wahajiri kumiminika barani Ulaya, sharti Umoja wa Ulaya uwahusishe viongozi wa Afrika katika mikakati yake ya kukomesha wimbi hilo la wahamiaji haramu.
-
Iran yakosoa waraka wa Bunge la Umoja wa Ulaya
Oct 08, 2016 04:45Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa waraka ambao utachunguzwa na Bunge la Umoja wa Ulaya kuhusu mustakabali wa uhusiano wa umoja huo na Iran.
-
Erdogan: EU iwe imeijumuisha Uturuki kufikia mwisho wa mwezi huu
Oct 02, 2016 04:50Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameupa Umoja wa Ulaya hadi mwisho wa mwezi huu uwe umekamilisha mchakato wa nchi hiyo kujiunga na EU.