Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Spika wa Bunge la Libya

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Spika wa Bunge la Libya

    Oct 01, 2016 10:03

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, umemuongezea muda wa vikwazo Spika wa Bunge la Taifa la Libya.

  • Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata

    Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata

    Aug 18, 2016 09:31

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni miongoni mwa shakhsia na viongozi wa kwanza wa dunia kumpongeza Edgar Lungu kwa kushinda uchaguzi wa rais uliogubikwa na utata na ambao upinzani umeelekea mahakamani kupinga matokeo yake.

  • EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%

    EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%

    Aug 13, 2016 03:00

    Shirika la Umoja wa Ulaya la Frontex linaloshughulikia masuala ya mipaka limesema idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Italia imeongezeka kwa asilimia 12.

  • Chuki dhidi ya wahajiri Uingereza zaongezeka baada ya Brexit

    Chuki dhidi ya wahajiri Uingereza zaongezeka baada ya Brexit

    Jul 01, 2016 03:39

    Chuki dhidi ya wahajiri nchini Uingereza zimeongezeka kwa asilimia 500, siku chache baada ya nchi hiyo kupiga kura ya kujiondoa kwenye Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit.

  • Uingereza yapiga kura kujiondoa Umoja wa Ulaya, EU

    Uingereza yapiga kura kujiondoa Umoja wa Ulaya, EU

    Jun 23, 2016 22:28

    Matokeo yasiyo rasmi ya kura ya maoni iliyopigwa hapo jana kuhusu Uingereza kujitoa au kubakia ndani ya Umoja wa Ulaya (EU) yanaonyesha kuwa Waingereza wataondoka EU.

  • Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi

    Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi

    Jun 25, 2016 01:55

    Umoja wa Ulaya umesema kuwa utashirikiana na nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Cameron ajiuzulu kama Waziri Mkuu baada ya Uingereza kujiondoa EU

    Cameron ajiuzulu kama Waziri Mkuu baada ya Uingereza kujiondoa EU

    Jun 24, 2016 03:53

    Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amejiuzulu baada ya Waingereza kupiga kura ya kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Russia

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Russia

    Jun 17, 2016 10:22

    Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha vikwazo vya umoja huo dhidi ya Russia.

  • EU na mikakati mipya nchini Mali ya kuzuia wahamiaji haramu

    EU na mikakati mipya nchini Mali ya kuzuia wahamiaji haramu

    Jun 16, 2016 03:16

    Umoja wa Ulaya umesema unatekeleza mikakati huko Mali kwa lengo la kuzuia kuendelea wimbi la wahamiaji haramu kuelekea Ulaya.

  • UN yaidhinisha kupanuliwa operesheni za EU, Libya

    UN yaidhinisha kupanuliwa operesheni za EU, Libya

    Jun 15, 2016 03:27

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa sauti moja limepasisha azimio linaloupa idhini Umoja wa Ulaya kuongeza operesheni za vikosi vyake vya majini katika pwani ya Libya, katika Bahari ya Mediterranean.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS