-
EU yailazimisha mitandao ya kijamii kutia saini sheria ya kukabiliana na mafundisho ya kundi la Daesh
May 31, 2016 22:39Umoja wa Ulaya unaendeleza juhudi za kudhibiti kikamilifu katika mitandao ya kijamii mafundisho ya ukatili na ubaguzi vinavyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel
May 27, 2016 03:21Uholanzi imekataa wito wa utawala wa kibaguzi wa Israel wa kupiga marufuku kampeni inayozidi kupanuka ya kimataifa ya kutaka walimwengu wasusie bidhaa za Israel.
-
Libya yauomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake
May 23, 2016 06:42Serikali ya Libya imeuomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake kupitia kutoa mafunzo kwa jeshi la majini la nchi hiyo.
-
Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA
Apr 30, 2016 11:47Rais Hassan Rouhani ameutaka Umoja wa Ulaya utoe ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi na kusisitizia ulazima wa kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia (JCPOA).
-
Burundi yawatimua raia wa nchi zilizosimamisha ushirikiano na Bujumbura
Apr 22, 2016 10:45Burundi imewataka raia wa nchi za kigeni zilizosimamisha ushirikiano na serikali ya Bujumbura, kuondoka nchini humo.
-
Mogherini: Hakuna kinachozuia ushirikiano wa kibenki kati ya Ulaya na Iran
Apr 17, 2016 08:53Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa maagizo mapya ya kiutekelezaji kwa ajili ya kushirikiana benki za Ulaya na Iran yameandaliwa na kwamba hakuna kizuizi chochote kinachozuia kutekelezwa ushirikiano wa nchi za Ulaya na Iran.
-
Umoja wa Ulaya watangaza kuwa tayari kuchunguza utekelezaji wa jukumu la kiusalama nchini Libya
Apr 17, 2016 00:12Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa upo tayari kuchunguza utekelezaji wa jukumu la kiusalama huko Libya iwapo serikali ya nchi hiyo itataka jambo hilo.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU awasili Tehran na ujumbe wa ngazi za juu
Apr 16, 2016 03:00Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amewasili hapa mjini Tehran akiandamana na ujumbe wa ngazi za juu wa wanasiasa, wawekezaji na wafanyabiashara wa Ulaya katika safari inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na EU.
-
EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni
Apr 05, 2016 03:13Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
EU yawawekea vikwazo viongozi wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya
Apr 02, 2016 01:46Umoja wa Ulaya EU umeanza kutekeleza mpango wa kuwawekea vikwazo viongozi wa kisiasa wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya.