Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • EU yailazimisha mitandao ya kijamii kutia saini sheria ya kukabiliana na mafundisho ya kundi la Daesh

    EU yailazimisha mitandao ya kijamii kutia saini sheria ya kukabiliana na mafundisho ya kundi la Daesh

    May 31, 2016 22:39

    Umoja wa Ulaya unaendeleza juhudi za kudhibiti kikamilifu katika mitandao ya kijamii mafundisho ya ukatili na ubaguzi vinavyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel

    Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel

    May 27, 2016 03:21

    Uholanzi imekataa wito wa utawala wa kibaguzi wa Israel wa kupiga marufuku kampeni inayozidi kupanuka ya kimataifa ya kutaka walimwengu wasusie bidhaa za Israel.

  • Libya yauomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake

    Libya yauomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake

    May 23, 2016 06:42

    Serikali ya Libya imeuomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake kupitia kutoa mafunzo kwa jeshi la majini la nchi hiyo.

  • Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA

    Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA

    Apr 30, 2016 11:47

    Rais Hassan Rouhani ameutaka Umoja wa Ulaya utoe ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi na kusisitizia ulazima wa kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia (JCPOA).

  • Burundi yawatimua raia wa nchi zilizosimamisha ushirikiano na Bujumbura

    Burundi yawatimua raia wa nchi zilizosimamisha ushirikiano na Bujumbura

    Apr 22, 2016 10:45

    Burundi imewataka raia wa nchi za kigeni zilizosimamisha ushirikiano na serikali ya Bujumbura, kuondoka nchini humo.

  • Mogherini: Hakuna kinachozuia ushirikiano wa kibenki kati ya Ulaya na Iran

    Mogherini: Hakuna kinachozuia ushirikiano wa kibenki kati ya Ulaya na Iran

    Apr 17, 2016 08:53

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa maagizo mapya ya kiutekelezaji kwa ajili ya kushirikiana benki za Ulaya na Iran yameandaliwa na kwamba hakuna kizuizi chochote kinachozuia kutekelezwa ushirikiano wa nchi za Ulaya na Iran.

  • Umoja wa Ulaya watangaza kuwa tayari kuchunguza utekelezaji wa jukumu la kiusalama nchini Libya

    Umoja wa Ulaya watangaza kuwa tayari kuchunguza utekelezaji wa jukumu la kiusalama nchini Libya

    Apr 17, 2016 00:12

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa upo tayari kuchunguza utekelezaji wa jukumu la kiusalama huko Libya iwapo serikali ya nchi hiyo itataka jambo hilo.

  • Mkuu wa Sera za Nje wa EU awasili Tehran na ujumbe wa ngazi za juu

    Mkuu wa Sera za Nje wa EU awasili Tehran na ujumbe wa ngazi za juu

    Apr 16, 2016 03:00

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amewasili hapa mjini Tehran akiandamana na ujumbe wa ngazi za juu wa wanasiasa, wawekezaji na wafanyabiashara wa Ulaya katika safari inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na EU.

  • EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni

    EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni

    Apr 05, 2016 03:13

    Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • EU yawawekea vikwazo viongozi wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya

    EU yawawekea vikwazo viongozi wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya

    Apr 02, 2016 01:46

    Umoja wa Ulaya EU umeanza kutekeleza mpango wa kuwawekea vikwazo viongozi wa kisiasa wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS