-
EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia
Mar 29, 2016 11:14Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
-
Mogherini: Mpango wa JCPOA uko katika mkondo sahihi
Mar 16, 2016 03:45Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ametangaza katika ripoti aliyotoa baada ya kufanyika kikao cha mashauriano kati yake na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) upo katika mkondo sahihi.
-
Umoja wa Ulaya wasimamisha msaada wa moja kwa moja kwa serikali ya Burundi
Mar 14, 2016 12:50Umoja wa Ulaya umesimamisha msaada wa moja kwa moja wa kifedha kwa serikali ya Burundi baada ya kuthibitisha kuwa haijafanya juhudi za kutosha ili kupata suluhisho kwa mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo uliosababisha vifo vya watu zaidi ya 400.
-
Taasisi za kimataifa zakaribisha kuidhinishwa matokeo ya uchaguzi wa CAR
Mar 05, 2016 11:43Taasisi za kimataifa zimekaribisha hatua ya kuidhinishwa Rais mpya wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Yemen yakaribisha vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Saudia
Feb 26, 2016 04:43Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen amekaribisha kwa mikono miwili mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuiwekea vikwazo na marufuku ya kuuziwa silaha Saudi Arabia.
-
EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki
Feb 24, 2016 04:12Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita baina ya Russia na Uturuki.
-
Wito wa kimataifa wa kudhamini usalama wa wakimbizi
Feb 21, 2016 04:48Taasisi kadhaa za kimataifa zimetoa wito wa kudhaminiwa usalama na kulindwa maisha ya wakimbizi wanaojaribu kuingia Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.
-
Mawaziri wa Uingereza wataka nchi ibakie ndani ya EU
Feb 20, 2016 10:07Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amesema kuwa baraza lake la mawaziri limeafiki kubakia nchi yao kwenye Umoja wa Ulaya (EU) lakini kuwe na mabadiliko kwenye sheria za muungano huo.
-
EU kuiwekea vikwazo zaidi Burundi
Feb 15, 2016 11:45Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa uko tayari kuiwekea vikwazo zaidi nchi ya Burundi.
-
Duru mpya ya mazungumzo ya Iran na EU kuanza leo
Feb 07, 2016 22:18Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya leo Jumatatu zinatazamiwa kuanza duru mpya ya mazungumzo, ikiwa ni ya kwanza tangu Tehran na kundi la 5+1 kufikia makubaliano ya nyuklia ya Vienna mwaka jana.