-
Israel iliteka nyara Wapalestina 500 mwezi Machi
Apr 11, 2017 02:01Utawala wa Kizayuni wa Israel uliwateka nyara Wapalestina 509 katika Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi na Quds Tukufu mwezi uliopita wa Machi.
-
Jumamosi 8 Aprili 2017
Apr 07, 2017 23:45Leo ni Jumamosi tarehe 10 Rajab 1438 Hijria sawa na 8 Aprili 2017
-
Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad
Apr 05, 2017 09:40Msemaji wa Harakati ya Wananchi 'The Popular Front' ya nchini Tunisia amesema kuwa, Moncef Marzouki rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria.
-
Jumatano 05, Aprili, 2017
Apr 04, 2017 23:38Leo ni Jumatano tarehe 7 Rajab 1438 Hijria sawa na 5 Aprili 2017
-
Jumatatu 3 Aprili, 2017
Apr 03, 2017 03:23Leo ni Jumatatu tarehe 5 Rajab 1438 Hijria sawa na 3 Aprili 2017.
-
OIC yalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi
Apr 03, 2017 00:09Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC) amelaani uamuzi uliopasishwa na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupasisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Umoja wa Mataifa wapinga tena ujenzi wa vitongoji vya walowezi, Palestina
Mar 31, 2017 23:37Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema taasisi hiyo ya kimataifa ina wasiwasi juu ya kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
Umoja wa Mataifa wawashutumu wanaoeneza uongo kuhusu Uislamu
Mar 29, 2017 09:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewashutumu watu wanaoeneza propaganda chafu dhidi ya Uislamu ambao wanajaribu kuihusisha dini hiyo na vitendo vya kigaidi.
-
Israel: Kombora jipya la HAMAS litaishinda ngao yetu ya chuma ya makombora
Mar 29, 2017 03:24Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umekiri kwamba, kombora jipya la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS, lenye uzito wa kilo 200, litaweza kuishinda ngao ya chuma ya utawala huo.
-
Spika wa Bunge Kuwait: Israel inapaswa kutengwa kimataifa
Mar 23, 2017 11:45Spika wa Bunge la Kuwait, Marzouq Al-Ghanim, amelaani siasa za kibaguzi za utawala haramu wa Israel na kusisitiza udharura wa kutengwa utawala huo katika Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge.