Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Ndege za kivita za Israel zaihujumu Syria

    Ndege za kivita za Israel zaihujumu Syria

    Nov 30, 2016 04:22

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimevurumisha makombora manne katika maeneo mawili nchini Syria karibu na barabara inayounganisha mji mkuu wa Syria, Damascus na mji mkuu wa Lebanon, Beirut.

  • Israel yakasirishwa na muendelezo wa vikwazo vya Ulaya dhidi yake

    Israel yakasirishwa na muendelezo wa vikwazo vya Ulaya dhidi yake

    Nov 27, 2016 04:46

    Baada ya Ufaransa kutoa maagizo mapya kwa ajili ya kubandika stika katika bidhaa zinazozalishwa katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, hatua hiyo imekabiliwa na radiamali hasi na kuikasirisha Israel.

  • Moto katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu na hatua ya Israel ya kutumia kipropaganda suala hilo

    Moto katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu na hatua ya Israel ya kutumia kipropaganda suala hilo

    Nov 27, 2016 02:07

    Matamshi ya viongozi wa kisiasa na misimamo iliyo dhidi ya Wapalestina iliyodhihirishwa na makuhani wa utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia moto mkubwa unaotiliwa shaka uliotokea katika baadhi ya maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel ambao umeathiri pia maeneo ya milimani ya Baitull Muqaddas, yanadhihirisha namna viongozi wa Israel wanavyolitumia suala hilo kisiasa ili kuwakandamiza na kuwaua zaidi raia wa Palestina.

  • UN yakosoa kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    UN yakosoa kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi

    Nov 24, 2016 04:34

    Umoja wa Mataifa umelaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kujenga nyumba 500 mpya mashariki mwa Baitul Muqaddas.

  • Umoja wa Ulaya, mshirika wa Israel katika kutenda jinai dhidi ya Wapalestina

    Umoja wa Ulaya, mshirika wa Israel katika kutenda jinai dhidi ya Wapalestina

    Nov 22, 2016 03:51

    Wawakilishi wa zaidi ya wafanyakazi milioni tatu barani Ulaya wamelaani ushirikiano wa umoja huo na Israel katika kutenda jinai dhidi ya watu wanaoendelea kudhulumiwa wa Palestina.

  • Jeshi la Israel lazongwa na tatizo la kutoroka askari jeshini

    Jeshi la Israel lazongwa na tatizo la kutoroka askari jeshini

    Nov 17, 2016 11:39

    Makamanda wa jeshi la utawala ghasibu wa Israel wameeleza wasiwasi wao mkubwa kutokana na wimbi la kutoroka askari katika jeshi la nchi hiyo na mwenendo wa tabaka la vijana kuhepa suala la kutoa huduma jeshini.

  • Marufuku ya kuadhini katika misikiti ya Quds yaendelea kupingwa vikali

    Marufuku ya kuadhini katika misikiti ya Quds yaendelea kupingwa vikali

    Nov 16, 2016 00:12

    Naibu wa kwanza wa Spika wa Bunge la Palestina amesema kinyume na nia ya adui Mzayuni sauti ya adhana itasikika katika ardhi zote za Palestina.

  • Jumuiya za haki za binadamu za Morocco zalalamikia kupeperushwa bendera ya utawala wa Kizayuni

    Jumuiya za haki za binadamu za Morocco zalalamikia kupeperushwa bendera ya utawala wa Kizayuni

    Nov 09, 2016 23:31

    Jumuiya za Haki za Binadamu za nchini Morocco zimelalamikia kitendo cha kupeperushwa bendera ya utawala wa Kizayuni mahali kunakofanyika kikao cha kimataifa cha mabadiliko ya tabia nchi katia mji mkuu wa Morocco.

  • UNESCO yapinga njama za kuiyahudisha Baitul Muqaddas

    UNESCO yapinga njama za kuiyahudisha Baitul Muqaddas

    Nov 09, 2016 07:46

    Eneo la Baitul Muqaddas (Jerusalem) na Haram tukufu ya Msikiti wa al Aqsa limekuwa likizusha hitilafu na migogoro kwa miaka mingi.

  • Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja

    Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja

    Oct 28, 2016 10:34

    Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka ya ndani ya Palestina ameshiriki katika mkutano nadra na viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS