Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Muendelezo wa maandamano dhidi ya Wazayuni katika maeneo mbalimbali ulimwenguni

    Muendelezo wa maandamano dhidi ya Wazayuni katika maeneo mbalimbali ulimwenguni

    Jul 04, 2024 03:40

    Maandamano bado yanaendelea katika nchi tofauti za dunia kupinga mauaji ya halaiki yanayofanywa na jeshi katili la utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.

  • Wanajeshi 2 wa Israel waangamizwa kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Wanajeshi 2 wa Israel waangamizwa kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Jul 03, 2024 22:55

    Wanajeshi wawili wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliangamizwa jana katika oparesheni iliyotekelezwa na wanamapambano wa kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Mashambulizi ya Ndege zisizo na Rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams

    Mashambulizi ya Ndege zisizo na Rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams

    Jul 03, 2024 22:49

    Ripoti zinasema kuwa, Wapalestina wanne wameuawa shahidi katika shambulio la ndege zisizo na rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Bagheri: Lebanon itakuwa jahanamu kubwa kwa Israel

    Bagheri: Lebanon itakuwa jahanamu kubwa kwa Israel

    Jul 03, 2024 08:19

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, bila ya shaka yoyote Lebanon itakuwa jahanamu kubwa sana kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kan'ani: Kukaa kimya mkabala wa jinai za Wazayuni ni mbali na ubinadamu

    Kan'ani: Kukaa kimya mkabala wa jinai za Wazayuni ni mbali na ubinadamu

    Jul 02, 2024 08:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa kunyamaza kimya jamii ya kimataifa mkabala wa jinai za Wazayuni huko Ukanda wa Gaza ni mbali na utu na ubinadamu.

  • Zaidi ya waandishi wa habari 150 wameshauawa shahidi katika vita vya Gaza

    Zaidi ya waandishi wa habari 150 wameshauawa shahidi katika vita vya Gaza

    Jul 02, 2024 02:15

    Ofisi ya upashaji habari ya serikali ya Gaza huko Palestina imetangaza kuwa, zaidi ya waandishi wa habari 150 wameshauawa shahidi kwenye ukanda huo tangu utawala wa Kizayuni ulipoanzisha mashambulizi ya pande zote, Oktoba 7, 2023.

  • Hamas: Kitendo cha Israel cha kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni uhalifu wa kivita

    Hamas: Kitendo cha Israel cha kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni uhalifu wa kivita

    Jul 01, 2024 03:32

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas); Izzat al-Rashq amesema kuwa, hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni jinai ya kivita.

  • Wazayuni washambulia mahema ya wakimbizi wa Kipalestina kusini mwa Gaza

    Wazayuni washambulia mahema ya wakimbizi wa Kipalestina kusini mwa Gaza

    Jun 29, 2024 08:17

    Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel waliokuwa wamejizatiti kwa vifaru wamevamia mahema ya wakimbizi wa Kipalestina katika eneo la al Mawasi kaskazini magharibi mwa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Balozi wa utawala wa Kizayuni aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Uholanzi, kuhusu ujasusi dhidi ya mahakama ya ICC

    Balozi wa utawala wa Kizayuni aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Uholanzi, kuhusu ujasusi dhidi ya mahakama ya ICC

    Jun 27, 2024 02:41

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Uholanzi imesema imemwita wizarani humo balozi wa utawala ghasibu wa Israel baada ya kuchapishwa habari kuhusu uwezekano wa kupenya Wazayuni katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya mjini Hague.

  • Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Jun 25, 2024 08:51

    Vita vya Gaza vimeingia katika mwezi wa tisa huku mizozo na mivutano kati ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na maafisa wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni ikiendelea kushika kasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS