Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Ombi la Afrika Kusini kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki kuhusu jinai za Israel katika mji wa Rafah, Gaza

    Ombi la Afrika Kusini kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki kuhusu jinai za Israel katika mji wa Rafah, Gaza

    Feb 14, 2024 10:28

    Serikali ya Afrika Kusini imesema imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuzingatia iwapo uamuzi wa utawala wa Israel kupanua operesheni za kijeshi Gaza hadi mji wa huko Rafah utahitaji mahakama hiyo kutumia mamlaka yake kuzuia ukiukwaji zaidi wa haki za Wapalestina.

  • Kuongezeka ukosoaji  wa Magharibi dhidi ya himaya ya Marekani kwa Israel katika vita vya Gaza

    Kuongezeka ukosoaji wa Magharibi dhidi ya himaya ya Marekani kwa Israel katika vita vya Gaza

    Feb 13, 2024 23:06

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, Jumatatu iliyopita aliitaka Marekani kuacha kutoa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na kiwango kikubwa cha mauaji ya raia katika vita vya Gaza.

  • Iran: Kupanua jinai za vita dhidi ya Wapalestina wa Rafah kutakuwa na madhara makubwa kwa utawala wa Kizayuni

    Iran: Kupanua jinai za vita dhidi ya Wapalestina wa Rafah kutakuwa na madhara makubwa kwa utawala wa Kizayuni

    Feb 13, 2024 04:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa onyo kali kwa mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuuvamia mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza na kusema kuwa utakuwa na madhara makubwa kwa utawala huo.

  • Ujumbe wa Bunge la Ufaransa: Israel inataka kuwaangamiza wakazi wote wa Gaza

    Ujumbe wa Bunge la Ufaransa: Israel inataka kuwaangamiza wakazi wote wa Gaza

    Feb 09, 2024 04:16

    Ujumbe wa Bunge la Ufaransa umetangaza kuwa, Israel sio tu kwamba inataka kuiangamiza Hamas, bali pia kuwaangamiza wakazi wote wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Maoni: Wamarekani wanaamini Israel imefanya mauaji ya kimbari Gaza

    Maoni: Wamarekani wanaamini Israel imefanya mauaji ya kimbari Gaza

    Feb 08, 2024 23:03

    Nusu ya Wamarekani wanaamini kuwa, kumefanyika mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Duru za Wazayuni: Nasrullah ndiye kiongozi shupavu zaidi wa Ulimwengu wa Kiarabu

    Duru za Wazayuni: Nasrullah ndiye kiongozi shupavu zaidi wa Ulimwengu wa Kiarabu

    Feb 06, 2024 04:43

    Wazayuni wanakiri kwamba, Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah, ni kiongozi shupavu na mwenye nguvu zaidi katika Ulimwengu wa Kiarabu na Magharibi mwa Asia.

  • Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi

    Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi

    Feb 03, 2024 23:07

    Marekani ambayo kwa miaka kadhaa sasa imevuruga amani ya eneo la Magharibi mwa Asia kutokana na uwepo wake wa kijeshi katika eneo hilo ili kufanikisha malengo yake na ya washirika wake, imekuwa ikiyumbisha usalama wa eneo hilo nyeti na muhimu kwa kufanya mashambulizi na uvamizi wa mara kwa mara.

  • UN: Watu wa Gaza wanapambana kila siku ili kuishi

    UN: Watu wa Gaza wanapambana kila siku ili kuishi

    Feb 01, 2024 23:10

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa wakazi wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza kila siku wanapambana ili kuweza kuishi.

  • Wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa hadi hivi sasa Ghaza

    Wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa hadi hivi sasa Ghaza

    Feb 01, 2024 03:44

    Jeshi la utawala wa Kizayuni ambalo ni maarufu kwa kuchuja mno habari limesema katika taarifa yake ya jana kwamba, hadi hivi sasa wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa tangu vilipoanza vita vya Ghaza, tarehe 7 Oktoba, 2023.

  • HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    Jan 31, 2024 23:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wanaendelea kufanya jinai katika hospitali na vituo vya matibabu huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS