-
Waziri Zarif aelekea Russia baada ya kuitembelea Uturuki
Jun 16, 2020 03:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameelekea Moscow, mji mkuu wa Russia katika ziara rasmi ya kikazi baada ya kuitembelea Uturuki na kukutana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo.
-
Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro
Jun 15, 2020 10:29Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema uchumi wa Kiislamu ndiyo dawa mjarabu ya kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la corona.
-
Zarif asema uhusiano wa Iran na Uturuki katika nyuga tofauti ni wa karibu sana
Jun 15, 2020 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Uturuki zina uhusiano mzuri wa na karibu sana katika nyuga mbali mbali.
-
Juhudi za Uturuki za kuweko kijeshi katika nchi ya Libya
Jun 14, 2020 08:08Baada ya Uturuki kuwa na uingiliaji wa kijeshi katika masuala ya ndani ya Libya na kushiriki pakubwa katika vita vya niaba, sasa viongozi wa Ankara wanazungumzi suala la kuanzisha vituo viwili vya kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Ugiriki: Tumejiweka tayari kupambana kijeshi na Uturuki
Jun 05, 2020 12:39Waziri wa Ulinzi wa Ugiriki amesema kuwa nchi yake imejiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana kijeshi na Uturuki kwa ajili ya kulinda haki yake ya kujitawala.
-
Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel
May 29, 2020 23:48Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa Waislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wanamgambo wa Haftar: Uturuki ni hatari kubwa kwa Libya
May 29, 2020 01:48Msemaji wa wanamgambo wanaojiita "Jeshi la Taifa la Libya" chini ya jenerali muasi Khalifa Haftar amesema kuwa, uingiliaji wa kijeshi wa Uturuki ni hatari sana kwa Libya.
-
Madai ya Uturuki kuhusu faida za uwepo wa majeshi yake nchini Libya
May 25, 2020 21:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlüt Çavuşoğlu amesema: “Uwepo wa wanajeshi wa Uturuki nchini Libya ni jambo litakalopelekea pande mbile hasimu nchini humo kuchukua hatua za kimsingi kuekelea katika usitishwaji vita.”
-
Uturuki yawatumia magaidi wa Syria msafara mwingine wa kilojistiki
May 23, 2020 04:46Duru za habari za Syria zimeripoti kuwa, Uturuki imewatumia magaidi wa Syria msafara mwingine wa vifaa vya kijeshi katika maeneo unayoyakalia kwa mabavu ya kaskazini mwa Syria.
-
Uturuki: Imarati, Misri na baadhi ya nchi, zimelitumbukiza eneo la Asia Magharibi katika ghasia na machafuko
May 13, 2020 10:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa maamuzi na hatua mbovu za Imarati, Misri na baadhi ya nchi za Kiarabu na Magharibi, vimelitumbukiza eneo la Asia Magharibi katika ghasia na machafuko.