Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Waziri Zarif aelekea Russia baada ya kuitembelea Uturuki

    Waziri Zarif aelekea Russia baada ya kuitembelea Uturuki

    Jun 16, 2020 03:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameelekea Moscow, mji mkuu wa Russia katika ziara rasmi ya kikazi baada ya kuitembelea Uturuki na kukutana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo.

  • Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Jun 15, 2020 10:29

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema uchumi wa Kiislamu ndiyo dawa mjarabu ya kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la corona.

  • Zarif asema uhusiano wa Iran na Uturuki katika nyuga tofauti ni wa karibu sana

    Zarif asema uhusiano wa Iran na Uturuki katika nyuga tofauti ni wa karibu sana

    Jun 15, 2020 03:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Uturuki zina uhusiano mzuri wa na karibu sana katika nyuga mbali mbali.

  • Juhudi za Uturuki za kuweko kijeshi katika nchi ya Libya

    Juhudi za Uturuki za kuweko kijeshi katika nchi ya Libya

    Jun 14, 2020 08:08

    Baada ya Uturuki kuwa na uingiliaji wa kijeshi katika masuala ya ndani ya Libya na kushiriki pakubwa katika vita vya niaba, sasa viongozi wa Ankara wanazungumzi suala la kuanzisha vituo viwili vya kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Ugiriki: Tumejiweka tayari kupambana kijeshi na Uturuki

    Ugiriki: Tumejiweka tayari kupambana kijeshi na Uturuki

    Jun 05, 2020 12:39

    Waziri wa Ulinzi wa Ugiriki amesema kuwa nchi yake imejiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana kijeshi na Uturuki kwa ajili ya kulinda haki yake ya kujitawala.

  • Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel

    Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel

    May 29, 2020 23:48

    Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa Waislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wanamgambo wa Haftar: Uturuki ni hatari kubwa kwa Libya

    Wanamgambo wa Haftar: Uturuki ni hatari kubwa kwa Libya

    May 29, 2020 01:48

    Msemaji wa wanamgambo wanaojiita "Jeshi la Taifa la Libya" chini ya jenerali muasi Khalifa Haftar amesema kuwa, uingiliaji wa kijeshi wa Uturuki ni hatari sana kwa Libya.

  • Madai ya Uturuki kuhusu faida za uwepo wa majeshi yake nchini Libya

    Madai ya Uturuki kuhusu faida za uwepo wa majeshi yake nchini Libya

    May 25, 2020 21:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlüt Çavuşoğlu amesema: “Uwepo wa wanajeshi wa Uturuki nchini Libya ni jambo litakalopelekea pande mbile hasimu nchini humo kuchukua hatua za kimsingi kuekelea katika usitishwaji vita.”

  • Uturuki yawatumia magaidi wa Syria msafara mwingine wa kilojistiki

    Uturuki yawatumia magaidi wa Syria msafara mwingine wa kilojistiki

    May 23, 2020 04:46

    Duru za habari za Syria zimeripoti kuwa, Uturuki imewatumia magaidi wa Syria msafara mwingine wa vifaa vya kijeshi katika maeneo unayoyakalia kwa mabavu ya kaskazini mwa Syria.

  • Uturuki: Imarati, Misri na baadhi ya nchi, zimelitumbukiza eneo la Asia Magharibi katika ghasia na machafuko

    Uturuki: Imarati, Misri na baadhi ya nchi, zimelitumbukiza eneo la Asia Magharibi katika ghasia na machafuko

    May 13, 2020 10:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa maamuzi na hatua mbovu za Imarati, Misri na baadhi ya nchi za Kiarabu na Magharibi, vimelitumbukiza eneo la Asia Magharibi katika ghasia na machafuko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS