Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Gaidi wa Daesh aliyekuwa akichapa bakora na kunyonga watu Syria, anaswa nchini Uturuki akitoroka

    Gaidi wa Daesh aliyekuwa akichapa bakora na kunyonga watu Syria, anaswa nchini Uturuki akitoroka

    Apr 12, 2018 23:48

    Vyombo vya usalama nchini Uturuki vimetangaza kwamba, vimefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) aliyekuwa maarufu kwa kuchapa watu bakora na kutoa hukumu za kunyongwa idadi kubwa ya watu katika mji wa Raqqa nchini Syria.

  • Matamshi ya Rais wa Uturuki dhidi ya Ufaransa

    Matamshi ya Rais wa Uturuki dhidi ya Ufaransa

    Apr 08, 2018 22:03

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki, kwa mara nyingine tena ameishutumu Ufaransa kuwa inawachochea magaidi kufanya jinai.

  • Utoaji vitisho tena wa Uturuki dhidi ya Iraq

    Utoaji vitisho tena wa Uturuki dhidi ya Iraq

    Mar 30, 2018 22:15

    Baraza la Usalama wa Taifa la Uturuki limetoa taarifa likitishia kwamba ikiwa serikali ya Iraq haitokomesha harakati za chama cha Wafanyakazi wa Kurdistan (PKK) ndani ya ardhi ya nchi hiyo, Uturuki itapeleka tena vikosi vya jeshi lake eneo la kaskazini mwa Iraq.

  • Vikosi vya jeshi la Iraq na Hashdu sh-Sha'abi vyawasili katika mji wa Sinjar kukabiliana na vitisho vya Uturuki

    Vikosi vya jeshi la Iraq na Hashdu sh-Sha'abi vyawasili katika mji wa Sinjar kukabiliana na vitisho vya Uturuki

    Mar 27, 2018 22:10

    Vikosi vya jeshi la Iraq na vya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi vimewasili katika mji wa Sinjar mkoani Nainawa (Nineveh) kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya Uturuki dhidi ya wakazi wa mji huo.

  • Baada ya Erdoğan kutishia kuishambulia Iraq, jeshi la Uturuki lashambulia ngome za PKK

    Baada ya Erdoğan kutishia kuishambulia Iraq, jeshi la Uturuki lashambulia ngome za PKK

    Mar 21, 2018 23:48

    Jeshi la Uturuki limefanya mashambuli ya anga katika maeneo yanayodaiwa na Ankara kuwa ni maficho na ngome za wapiganaji wa Kikurdi wa PKK kaskazini mwa nchi jirani ya Iraq.

  • Kasisi wa Marekani kupandishwa kizimbani Uturuki kwa tuhuma za ugaidi

    Kasisi wa Marekani kupandishwa kizimbani Uturuki kwa tuhuma za ugaidi

    Mar 20, 2018 12:12

    Kasisi mmoja raia wa Marekani huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 35 jela nchini Uturuki iwapo atapatikana na hatia katika tuhuma za ugaidi na ujasusi zinazomkabili.

  • Mbali na Uturuki kuivamia Syria, Erdoğan atishia tena kuishambulia Iraq

    Mbali na Uturuki kuivamia Syria, Erdoğan atishia tena kuishambulia Iraq

    Mar 20, 2018 04:08

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kwamba, ikiwa serikali ya Iraq haitoshirikiana na nchi yake, basi Ankara itaanzisha mashambulizi katika miji ya Sinjar nchini Iraq dhidi ya wanachama wa kundi la Kikurdi la PKK.

  • Kuingia wanajeshi wa Uturuki mjini Afrin, Syria na changamoto zitakazoibuka

    Kuingia wanajeshi wa Uturuki mjini Afrin, Syria na changamoto zitakazoibuka

    Mar 19, 2018 04:01

    Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki jana alitangaza kuwa wanajeshi wa nchi yake sasa wamechukua udhibiti wa mji wa Afrin kaskazini mwa Syria.

  • Ndege ya Uturuki yaanguka nchini Iran

    Ndege ya Uturuki yaanguka nchini Iran

    Mar 11, 2018 13:38

    Ndege moja binafsi ya Uturuki iliyokuwa inasafiri kutoka Sharjah, Imarati kuelekea Istanbul Uturuki imeanguka karibu na Shahr-e Kord katika mkoa wa Chaharmahal va Bakhtiari kusini magharibi mwa Iran.

  • Human Rights Watch: Uturuki haiheshimu maisha ya raia wa kawaida mjini Afrin, Syria

    Human Rights Watch: Uturuki haiheshimu maisha ya raia wa kawaida mjini Afrin, Syria

    Feb 24, 2018 04:19

    Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limeikosoa vikali serikali ya Uturuki kwa kutozingatia maisha ya raia wa kawaida katika vita vyake eneo la Afrin, kaskazini mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS