-
HRW: Saudia inatumia mabomu ya vishada ya Marekani nchini Yemen
May 06, 2016 23:49Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeikosoa Marekani kwa kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada yanayotumiwa na utawala huo wa kifalme dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.
-
Ban akosoa ukiukaji wa haki za binadamu duniani
Apr 07, 2016 03:23Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika kwa kisingizio cha kupambana na makundi yenye mitazamo mikali ni maafa kwa dunia ya sasa.
-
Ripoti ya kushtua kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Bahrain
Apr 04, 2016 02:45Taasisi moja isiyo ya kiserikali inayotetea haki za binadamu nchini Bahrain imetoa ripoti ya kushtusha kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini humo katika mwaka uliopita.
-
Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa
Apr 02, 2016 01:49Tume Huru ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Buundi imeelezea wasi wasi wake kuhusiana na hali ya kiusalama na kisiasa nchini Burundi na kuongeza kwamba mamia ya watu wamekwishauawa kufikia sasa.
-
UNHRC kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu S. Kusini
Mar 24, 2016 03:45Umoja wa Mataifa utaanza kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu Sudan Kusini.
-
Amnesty International yakosoa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia
Mar 16, 2016 10:58Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa nchini Saudi Arabia.
-
Mtaalamu wa UN atoa indhari kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mar 13, 2016 00:00Marie-Thérèse Keita-Bocoum, mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu amesema hali ya haki za binadamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi.
-
Watetezi: Bahrain inakiuka haki ya faragha na uhuru wa kujieleza
Mar 11, 2016 04:50Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Bahrain limeelezea wasiwasi kuhusu hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kuendelea kukandamiza haki ya faragha na uhuru wa kujieleza wa wananchi wa nchi hiyo.
-
Ukiukwaji haki za binadamu Misri walaaniwa
Mar 05, 2016 12:19Vikosi vya usalama vya Misri vimelaumiwa kwa kukiuka haki za binadamu kutokana na kutekeleza vitendo vya utesaji na mauaji ya kiholela wakati wa kukabiliana na wapinzani.
-
Wanaharakati: Rais Buhari anakiuka haki zote za Mashia Nigeria
Mar 01, 2016 04:31Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesema serikali ya nchi hiyo imekiuka haki zote za msingi za Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.