Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahajiri zaidi ya 100 wahofiwa kufa maji Bahari ya Mediterranea

    Wahajiri zaidi ya 100 wahofiwa kufa maji Bahari ya Mediterranea

    Jan 15, 2017 11:17

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda bara Ulaya kuzama katika Bahari ya Mediterranea.

  • Miili ya wahajiri 11 yapatikana ufuoni mjini Tripoli, Libya

    Miili ya wahajiri 11 yapatikana ufuoni mjini Tripoli, Libya

    Dec 28, 2016 10:47

    Shirika la Hilali Nyekundu la Libya limesema miili 11 ya wahajiri waliokufa maji wakijaribu kuelekea barani Ulaya imepatikana katika fuo za mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • UN: Wajiri elfu tano wamekufa maji wakieleka Ulaya mwaka huu 2016

    UN: Wajiri elfu tano wamekufa maji wakieleka Ulaya mwaka huu 2016

    Dec 23, 2016 12:53

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limesema wakimbizi na wahajiri wapatao 5,000 wamepoteza maisha mwaka huu wa 2016 wakijaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.

  • Wahajiri 1,400 waokolewa Bahari ya Mediterranea wakielekea Ulaya

    Wahajiri 1,400 waokolewa Bahari ya Mediterranea wakielekea Ulaya

    Nov 23, 2016 04:42

    Wahajiri 1,400 aghalabu kutoka kaskazini mwa Afrika, wameokolewa baada ya boti zao kuzama katika Bahari ya Mediterranea wakielekea barani Ulaya.

  • ICC yachunguza magendo ya wahajiri wa Kiafrika nchini Libya

    ICC yachunguza magendo ya wahajiri wa Kiafrika nchini Libya

    Nov 23, 2016 04:30

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imeanzisha uchunguzi juu ya biashara haramu ya kuwasafirisha wahajiri wa Kiafrika wanaopelekwa barani Ulaya kupitia usafiri hatari wa baharini.

  • Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya

    Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya

    Nov 18, 2016 04:12

    Makumi ya wahajiri wamefariki dunia na wengine wengi kutoweka baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterenia wakielekea barani Ulaya jana Alkhamisi.

  • Wahajiri 550 Waafrika waokolewa Bahari ya Mediterannea wakikimbilia Ulaya

    Wahajiri 550 Waafrika waokolewa Bahari ya Mediterannea wakikimbilia Ulaya

    Nov 15, 2016 10:40

    Wahajiri 550, aghalabu kutoka Afrika Magharibi, wameokolewa kutoka katika boti zao zilizokuwa zinaelekea kuzama katika Bahari ya Mediterranea Jumatatu katika oparesheni tano ambapo waokoaji walipata miili mitano.

  • Trump: Tutawafunga jela au kuwatimua wahajiri milioni 3

    Trump: Tutawafunga jela au kuwatimua wahajiri milioni 3

    Nov 14, 2016 04:31

    Hata kabla ya kuapishwa, Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameahidi kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi, likiwemo suala la kuwatimua wahamiaji nchini humo.

  • Ujerumani kuwakamata wahamiaji baharini na kuwarejesha Afrika

    Ujerumani kuwakamata wahamiaji baharini na kuwarejesha Afrika

    Nov 06, 2016 10:53

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imetoa pendekezo la kuwakamata wahamiaji Waafrika katika Bahari ya Mediterranean na kuwarejesha Afrika kabla hawajafika Ulaya.

  • Wahajiri 239 wafariki dunia pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Wahajiri 239 wafariki dunia pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Nov 03, 2016 12:55

    Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 239 wali0kuwa wakielekea barani Ulaya wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS