Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya

    Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya

    Nov 18, 2016 07:42

    Makumi ya wahajiri wamefariki dunia na wengine wengi kutoweka baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterenia wakielekea barani Ulaya jana Alkhamisi.

  • Wahajiri 550 Waafrika waokolewa Bahari ya Mediterannea wakikimbilia Ulaya

    Wahajiri 550 Waafrika waokolewa Bahari ya Mediterannea wakikimbilia Ulaya

    Nov 15, 2016 14:10

    Wahajiri 550, aghalabu kutoka Afrika Magharibi, wameokolewa kutoka katika boti zao zilizokuwa zinaelekea kuzama katika Bahari ya Mediterranea Jumatatu katika oparesheni tano ambapo waokoaji walipata miili mitano.

  • Trump: Tutawafunga jela au kuwatimua wahajiri milioni 3

    Trump: Tutawafunga jela au kuwatimua wahajiri milioni 3

    Nov 14, 2016 08:01

    Hata kabla ya kuapishwa, Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameahidi kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi, likiwemo suala la kuwatimua wahamiaji nchini humo.

  • Ujerumani kuwakamata wahamiaji baharini na kuwarejesha Afrika

    Ujerumani kuwakamata wahamiaji baharini na kuwarejesha Afrika

    Nov 06, 2016 14:23

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imetoa pendekezo la kuwakamata wahamiaji Waafrika katika Bahari ya Mediterranean na kuwarejesha Afrika kabla hawajafika Ulaya.

  • Wahajiri 239 wafariki dunia pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Wahajiri 239 wafariki dunia pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Nov 03, 2016 16:25

    Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 239 wali0kuwa wakielekea barani Ulaya wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya.

  • Wahamiaji 2,200 wanusuriwa Mediterranea, miili 16 yapatikana

    Wahamiaji 2,200 wanusuriwa Mediterranea, miili 16 yapatikana

    Oct 26, 2016 04:39

    Wahamiaji karibu 2,200 wameokolewa katika Bahari ya Mediterranea katika oparesheni 21 za uokoaji huku miili 16 ikipatikana, Gadi ya Ulinzi wa Pwani ya Italia imesema.

  • Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Oct 13, 2016 08:00

    Rais Idris Deby wa Chad amesema ili kulipatia ufumbuzi jinamizi la wahajiri kumiminika barani Ulaya, sharti Umoja wa Ulaya uwahusishe viongozi wa Afrika katika mikakati yake ya kukomesha wimbi hilo la wahamiaji haramu.

  • Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Oct 06, 2016 04:41

    Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.

  • Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya

    Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya

    Oct 04, 2016 07:55

    Gadi ya ulinzi wa pwani ya Italia imesema wahajiri wapatao 5,600 wamenusurika kifo katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterranean wakielekea bara Ulaya jana Jumatatu; idadi inayotajwa kuwa kubwa zaidi ya wahajiri kuokolewa katika siku moja.

  • Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya boti Misri yapindukia 200

    Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya boti Misri yapindukia 200

    Sep 29, 2016 04:40

    Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya kupinduka kwa meli iliyobeba wahamiaji haramu iliyotokea wiki iliyopita kwenye eneo la Bahari ya Mediterranean imefikia 202.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS