-
Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya
Nov 18, 2016 07:42Makumi ya wahajiri wamefariki dunia na wengine wengi kutoweka baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterenia wakielekea barani Ulaya jana Alkhamisi.
-
Wahajiri 550 Waafrika waokolewa Bahari ya Mediterannea wakikimbilia Ulaya
Nov 15, 2016 14:10Wahajiri 550, aghalabu kutoka Afrika Magharibi, wameokolewa kutoka katika boti zao zilizokuwa zinaelekea kuzama katika Bahari ya Mediterranea Jumatatu katika oparesheni tano ambapo waokoaji walipata miili mitano.
-
Trump: Tutawafunga jela au kuwatimua wahajiri milioni 3
Nov 14, 2016 08:01Hata kabla ya kuapishwa, Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameahidi kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi, likiwemo suala la kuwatimua wahamiaji nchini humo.
-
Ujerumani kuwakamata wahamiaji baharini na kuwarejesha Afrika
Nov 06, 2016 14:23Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imetoa pendekezo la kuwakamata wahamiaji Waafrika katika Bahari ya Mediterranean na kuwarejesha Afrika kabla hawajafika Ulaya.
-
Wahajiri 239 wafariki dunia pwani ya Libya wakielekea Ulaya
Nov 03, 2016 16:25Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 239 wali0kuwa wakielekea barani Ulaya wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya.
-
Wahamiaji 2,200 wanusuriwa Mediterranea, miili 16 yapatikana
Oct 26, 2016 04:39Wahamiaji karibu 2,200 wameokolewa katika Bahari ya Mediterranea katika oparesheni 21 za uokoaji huku miili 16 ikipatikana, Gadi ya Ulinzi wa Pwani ya Italia imesema.
-
Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri
Oct 13, 2016 08:00Rais Idris Deby wa Chad amesema ili kulipatia ufumbuzi jinamizi la wahajiri kumiminika barani Ulaya, sharti Umoja wa Ulaya uwahusishe viongozi wa Afrika katika mikakati yake ya kukomesha wimbi hilo la wahamiaji haramu.
-
Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji
Oct 06, 2016 04:41Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.
-
Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya
Oct 04, 2016 07:55Gadi ya ulinzi wa pwani ya Italia imesema wahajiri wapatao 5,600 wamenusurika kifo katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterranean wakielekea bara Ulaya jana Jumatatu; idadi inayotajwa kuwa kubwa zaidi ya wahajiri kuokolewa katika siku moja.
-
Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya boti Misri yapindukia 200
Sep 29, 2016 04:40Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya kupinduka kwa meli iliyobeba wahamiaji haramu iliyotokea wiki iliyopita kwenye eneo la Bahari ya Mediterranean imefikia 202.