-
Miili ya watu 115 yapatikana kufuatia kuzama boti ya wahamiaji Misri
Sep 24, 2016 04:42Waokoaji nchini Misri wamefanikiwa kupata miili zaidi katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti iliyokuwa na mamia ya wahamiaji kuzama hivi karibuni karibu na pwani ya nchi hiyo.
-
Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika fukwe za Libya
Sep 15, 2016 07:27Maafisa wa gadi ya ulinzi wa fukwe za Italia wametangaza habari ya kuokolewa amia ya wahajiri haramu katika fukwe za Libya.
-
EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%
Aug 13, 2016 07:30Shirika la Umoja wa Ulaya la Frontex linaloshughulikia masuala ya mipaka limesema idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Italia imeongezeka kwa asilimia 12.
-
Amnesty: Jamii ya Kimataifa imefeli kuutatua mgogoro wa wakimbizi
Aug 04, 2016 15:05Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limewakosoa viongozi wa dunia kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa wakimbizi duniani.
-
Miili 22 ya wahajiri yapatikana katika Pwani ya Libya
Jul 21, 2016 13:39Miili 22 ya wahajiri imepatikana ndani ya boti karibu na pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterranean huku juhudi za kutafuta miili zaidi zikiendelea.
-
Miili 217 ya wahajiri yapatikana Italia
Jul 07, 2016 14:13Miili zaidi ya 200 ya wahajiri imepatika katika mabaki ya boti iliyozama katika Bahari ya Mediterranean Aprili mwaka jana 2015.
-
Chuki dhidi ya wahajiri Uingereza zaongezeka baada ya Brexit
Jul 01, 2016 08:09Chuki dhidi ya wahajiri nchini Uingereza zimeongezeka kwa asilimia 500, siku chache baada ya nchi hiyo kupiga kura ya kujiondoa kwenye Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit.
-
Niger yasema wahajiri 34 wameaga dunia wakielekea Ulaya
Jun 16, 2016 15:30Serikali ya Niger imesema wahajiri 34 raia wa nchi kadhaa za Afrika wakiwemo watoto wadogo 20 wameaga dunia katika jangwa la nchi hiyo baada ya kutelekezwa na mtu aliyekuwa akiwapeleka barani Ulaya.
-
Miili mingine 133 ya wahajiri yapatika katika pwani ya Libya
Jun 06, 2016 08:06Shirika la Hilali Nyekundu limetangaza kuwa miili ya 133 ya wahajiri waliokufa maji hivi karibuni wakijaribu kuvuka Bahari ya Mediterranean kuelekea Ulaya imepatikana katika mji wa Zuwara, magharibi mwa Libya.
-
Miili 25 ya wahajiri yapatikana magharibi mwa Libya
Jun 02, 2016 14:52Shirika la Kimataifa la Hilali Nyekundu limesema kuwa miili ya wahajiri 25 waliokufa maji siku chache zilizopita wakijaribu kuvuka Bahari ya Mediterranean kuelekea Ulaya imepatikana katika mji wa Zuwara, magharibi mwa Libya.