Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahamiaji 2,200 wanusuriwa Mediterranea, miili 16 yapatikana

    Wahamiaji 2,200 wanusuriwa Mediterranea, miili 16 yapatikana

    Oct 26, 2016 01:09

    Wahamiaji karibu 2,200 wameokolewa katika Bahari ya Mediterranea katika oparesheni 21 za uokoaji huku miili 16 ikipatikana, Gadi ya Ulinzi wa Pwani ya Italia imesema.

  • Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Oct 13, 2016 04:30

    Rais Idris Deby wa Chad amesema ili kulipatia ufumbuzi jinamizi la wahajiri kumiminika barani Ulaya, sharti Umoja wa Ulaya uwahusishe viongozi wa Afrika katika mikakati yake ya kukomesha wimbi hilo la wahamiaji haramu.

  • Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Oct 06, 2016 01:11

    Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.

  • Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya

    Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya

    Oct 04, 2016 04:25

    Gadi ya ulinzi wa pwani ya Italia imesema wahajiri wapatao 5,600 wamenusurika kifo katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterranean wakielekea bara Ulaya jana Jumatatu; idadi inayotajwa kuwa kubwa zaidi ya wahajiri kuokolewa katika siku moja.

  • Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya boti Misri yapindukia 200

    Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya boti Misri yapindukia 200

    Sep 29, 2016 01:10

    Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali ya kupinduka kwa meli iliyobeba wahamiaji haramu iliyotokea wiki iliyopita kwenye eneo la Bahari ya Mediterranean imefikia 202.

  • Miili ya watu 115 yapatikana kufuatia kuzama boti ya wahamiaji Misri

    Miili ya watu 115 yapatikana kufuatia kuzama boti ya wahamiaji Misri

    Sep 24, 2016 01:12

    Waokoaji nchini Misri wamefanikiwa kupata miili zaidi katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti iliyokuwa na mamia ya wahamiaji kuzama hivi karibuni karibu na pwani ya nchi hiyo.

  • Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika fukwe za Libya

    Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika fukwe za Libya

    Sep 15, 2016 02:57

    Maafisa wa gadi ya ulinzi wa fukwe za Italia wametangaza habari ya kuokolewa amia ya wahajiri haramu katika fukwe za Libya.

  • EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%

    EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%

    Aug 13, 2016 03:00

    Shirika la Umoja wa Ulaya la Frontex linaloshughulikia masuala ya mipaka limesema idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Italia imeongezeka kwa asilimia 12.

  • Amnesty: Jamii ya Kimataifa imefeli kuutatua mgogoro wa wakimbizi

    Amnesty: Jamii ya Kimataifa imefeli kuutatua mgogoro wa wakimbizi

    Aug 04, 2016 10:35

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limewakosoa viongozi wa dunia kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa wakimbizi duniani.

  • Miili 22 ya wahajiri yapatikana katika Pwani ya Libya

    Miili 22 ya wahajiri yapatikana katika Pwani ya Libya

    Jul 21, 2016 09:09

    Miili 22 ya wahajiri imepatikana ndani ya boti karibu na pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterranean huku juhudi za kutafuta miili zaidi zikiendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS