-
Wahajiri 700 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya
May 29, 2016 14:04Mamia ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya katika muda wa siku chache zilizopita.
-
IOM: Zaidi ya 80 hawajapatikana baada ya boti ya wakimbizi kuzama pwani ya Libya
May 01, 2016 14:18Shirika la Kimataifa la Wahajiri IOM limesema hatima ya wahajiri zaidi ya 80 haijajulikana hadi sasa baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterranean Ijumaa iliyopita.
-
Nchi za Ulaya zakosolewa kwa kupuuza mgogoro wa wahajiri
Feb 19, 2016 08:14Bunge la Ulaya limekosoa baadhi ya nchi za bara hilo kwa kupuuza mgogoro wa wahajiri na hivyo kufanya suala hilo kuwa gumu zaidi kulitatua.