-
Kuhusu Waislamu wa Rohingya, Suu Kyi ni mdanganyifu
Sep 20, 2017 21:57Wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya wanaoishi makambini nchini Bangladesh wamesema hotuba aliyotoa Aun San Suu Kyi Waziri wa Mambo ya Nje na ambaye pia ni Mshauri Mkuu wa Serikali ya Myanmar ni ya udanganyifu.
-
HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu
Sep 18, 2017 09:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Mateso ya Waislamu wa Rohingya katika picha
Sep 17, 2017 06:31Hizi hapa chini ni baadhi ya picha zinazoonesha sehemu ndogo to ya matezo makubwa yanayowatesa Waislamu wa jamii ya Rohingya kutokana na ukatili na unyama wa kuchupa mipaka wanaofanyiwa na mabudha
-
FAO: Waislamu laki moja Warohingya walioko Bangladesh wanahitajia msaada wa haraka wa chakula
Sep 15, 2017 00:03Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, Waislamu laki moja wa jamii ya Rohingya waliowasili nchini Bangladesh wanahitajia msaada wa haraka wa chakula.
-
UN kusaidia Waislamu Warohingya waliokimbia Myanmar
Sep 13, 2017 03:18Idadi ya Waislamu wa jamii Warohingya ambao wanakimbia mateso na mauaji huko Myanmar inaongezeka kila uchao katika hali ambayo, mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wao wanaendelea kuhakikisha wanafikisha misaada ya dharura kwa wakimbizi hao ambao wengi wao ni Waislamu.
-
Waislamu 300,000 watazamiwa kukimbia mauaji nchini Myanmar
Sep 07, 2017 03:11Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa Waislamu zaidi ya 300,000 wanatazamiwa kukimbia mauaji na dhulma wanazotendewa nchini Myanmar na kuelekea katika nchi jirani ya Bangladesh.
-
BHRN: Sio Waislamu wa Rakhine tu wanaouawa Myanmar
Sep 05, 2017 23:19Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Myanmar limetoa ripoti iliyofichua kuwa Waislamu katika maeneo yote ya nchi hiyo wanauawa na kuhujumiwa na wanajeshi wa nchi hiyo na sio wa kabila la Rohingya tu katika mkoa wa Rakhine.
-
Waislamu wa Canada wafanya sherehe ya kutangaza Uislamu halisi
Aug 28, 2017 23:56Waislamu wa mkoa wa Alberta nchini Canada wamefanya sherehe iliyopewa jina la 'Siku ya Turathi za Kiislamu' kwa lengo la kuitangaza dini ya Uislamu kwa watu wasiokuwa Waislamu.
-
Madhara ya kuenezwa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
Aug 28, 2017 11:00Kuongezeka wimbi la vyombo vya habari vinavyoeneza chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya kumewaweka katika wakati mgumu sana Waislamu barani humo kiasi kwamba uchunguzi wa hivi karibuni wa maoni unaonesha kuwa, kati ya kila watu watano wa barani Ulaya, mmoja anachukia kuwa na jirani Muislamu.
-
Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Aug 25, 2017 23:23Umoja wa Mataifa umelaani vikali mauaji na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.