-
Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani
Aug 18, 2017 21:59Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.
-
Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali
Aug 18, 2017 03:45Seneta aliyeingia Bungeni akiwa amevalia burqa kwa kejeli na dhihaki nchini Australia amekosolewa vikali na Mwanasheria Mkuu na Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kuvunjia heshima vazi hilo linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu.
-
Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu
Aug 08, 2017 22:02Serikali ya Poland imetangaza msimamo wake mpya kuhusiana na kupinga kuwapokea wahajiri na kusema kuwa, haitawapokea wahajiri kutoka Mashariki ya Kati na Afrika.
-
Warusi wengi wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu
Aug 02, 2017 22:04Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Russia yameonyesha kuwa raia wengi wa nchi hiyo wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu.
-
Mwenendo wa Trump mkabala na jamii ya Waislamu wa Marekani wakosolewa
Jul 26, 2017 09:27Zaidi ya asilimia 70 ya Waislamu nchini Marekani wamekosoa namna rais wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu nchini humo.
-
Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa
Jul 23, 2017 23:28Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vikali hatua kandamizi za usalama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Quds Tukufu na kusisitiza kuwa katu Waislamu hawawezi kunyamazia kimya jinai hizo.
-
Ongezeko la Chuki dhidi ya Waislamu Marekani
Jul 18, 2017 21:58Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani.
-
Waislamu; wahanga wa vitendo vya kibaguzi na kigaidi vya kumwagiwa tindikali nchini Uingereza
Jul 15, 2017 23:44Waislamu wa nchini Uingereza wangali wanakabiliwa na vitendo na mashambulizi ya kibaguzi na kigaidi katika sura mpya kutoka makundi ya mirengo ya kulia yenye misimamo mikali. Jinai mpya ya hivi karibuni ilitekelezwa usiku wa Alhamisi ambapo Waislamu watano walimwagiwa tindikali usoni.
-
Jumanne, 11 Julai, 2017
Jul 10, 2017 22:40Leo ni Jumanne tarehe 16 Shawwal 1438 Hijria mwafaka na tarehe 11 Julai 2017.
-
Kikao cha kushukuru mchango wa Waislamu chafanyika nchini Brazil
Jul 07, 2017 03:20Kikao cha kuheshimu na kutambua mchango wa jamii ya Waislamu wa Brazil kilifanyika jana katika bunge la nchi hiyo.