Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Aug 18, 2017 21:59

    Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.

  • Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Aug 18, 2017 03:45

    Seneta aliyeingia Bungeni akiwa amevalia burqa kwa kejeli na dhihaki nchini Australia amekosolewa vikali na Mwanasheria Mkuu na Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kuvunjia heshima vazi hilo linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu.

  • Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Aug 08, 2017 22:02

    Serikali ya Poland imetangaza msimamo wake mpya kuhusiana na kupinga kuwapokea wahajiri na kusema kuwa, haitawapokea wahajiri kutoka Mashariki ya Kati na Afrika.

  • Warusi wengi wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu

    Warusi wengi wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu

    Aug 02, 2017 22:04

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Russia yameonyesha kuwa raia wengi wa nchi hiyo wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu.

  • Mwenendo wa Trump mkabala na jamii ya Waislamu wa Marekani wakosolewa

    Mwenendo wa Trump mkabala na jamii ya Waislamu wa Marekani wakosolewa

    Jul 26, 2017 09:27

    Zaidi ya asilimia 70 ya Waislamu nchini Marekani wamekosoa namna rais wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu nchini humo.

  • Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Jul 23, 2017 23:28

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vikali hatua kandamizi za usalama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Quds Tukufu na kusisitiza kuwa katu Waislamu hawawezi kunyamazia kimya jinai hizo.

  • Ongezeko la Chuki dhidi ya Waislamu Marekani

    Ongezeko la Chuki dhidi ya Waislamu Marekani

    Jul 18, 2017 21:58

    Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani.

  • Waislamu; wahanga wa vitendo vya kibaguzi na kigaidi vya kumwagiwa tindikali nchini Uingereza

    Waislamu; wahanga wa vitendo vya kibaguzi na kigaidi vya kumwagiwa tindikali nchini Uingereza

    Jul 15, 2017 23:44

    Waislamu wa nchini Uingereza wangali wanakabiliwa na vitendo na mashambulizi ya kibaguzi na kigaidi katika sura mpya kutoka makundi ya mirengo ya kulia yenye misimamo mikali. Jinai mpya ya hivi karibuni ilitekelezwa usiku wa Alhamisi ambapo Waislamu watano walimwagiwa tindikali usoni.

  • Jumanne, 11 Julai, 2017

    Jumanne, 11 Julai, 2017

    Jul 10, 2017 22:40

    Leo ni Jumanne tarehe 16 Shawwal 1438 Hijria mwafaka na tarehe 11 Julai 2017.

  • Kikao cha kushukuru mchango wa Waislamu chafanyika nchini Brazil

    Kikao cha kushukuru mchango wa Waislamu chafanyika nchini Brazil

    Jul 07, 2017 03:20

    Kikao cha kuheshimu na kutambua mchango wa jamii ya Waislamu wa Brazil kilifanyika jana katika bunge la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS