Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu 21 wauawa Myanmar katika mapigano jimboni Rakhine

    Waislamu 21 wauawa Myanmar katika mapigano jimboni Rakhine

    Aug 25, 2017 03:13

    Waislamu 21 wameuawa katika mapigano yaliyozuka usiku wa kuamkia leo nchini Myanmar katika jimbo la Rakhine la magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu US akosoa matamshi ya kibaguzi ya Trump

    Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu US akosoa matamshi ya kibaguzi ya Trump

    Aug 20, 2017 22:02

    Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani katika eneo la kaskazini mwa jimbo la Texas amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika kuunga mkono kundi la wazungu wanaojikweza na kujiona bora kuliko watu wengine.

  • Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania

    Mamia ya Waislamu waandamana dhidi ya ugaidi nchini Uhispania

    Aug 20, 2017 02:29

    Mamia ya Waislamu katika mji wa Barcelona kaskazini mashariki mwa Uhispania wamefanya maandamano kulaani na kupinga mashambulizi mawili ya kigaidi yaliyotokea nchini humo siku chache zilizopita.

  • Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Aug 18, 2017 21:59

    Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.

  • Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Seneta aliyeikejeli burqa Bungeni huko Australia akosolewa vikali

    Aug 18, 2017 03:45

    Seneta aliyeingia Bungeni akiwa amevalia burqa kwa kejeli na dhihaki nchini Australia amekosolewa vikali na Mwanasheria Mkuu na Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kuvunjia heshima vazi hilo linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu.

  • Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Kukataa Poland kuwapokea wahajiri Waislamu

    Aug 08, 2017 22:02

    Serikali ya Poland imetangaza msimamo wake mpya kuhusiana na kupinga kuwapokea wahajiri na kusema kuwa, haitawapokea wahajiri kutoka Mashariki ya Kati na Afrika.

  • Warusi wengi wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu

    Warusi wengi wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu

    Aug 02, 2017 22:04

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Russia yameonyesha kuwa raia wengi wa nchi hiyo wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu.

  • Mwenendo wa Trump mkabala na jamii ya Waislamu wa Marekani wakosolewa

    Mwenendo wa Trump mkabala na jamii ya Waislamu wa Marekani wakosolewa

    Jul 26, 2017 09:27

    Zaidi ya asilimia 70 ya Waislamu nchini Marekani wamekosoa namna rais wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu nchini humo.

  • Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Jul 23, 2017 23:28

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vikali hatua kandamizi za usalama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Quds Tukufu na kusisitiza kuwa katu Waislamu hawawezi kunyamazia kimya jinai hizo.

  • Ongezeko la Chuki dhidi ya Waislamu Marekani

    Ongezeko la Chuki dhidi ya Waislamu Marekani

    Jul 18, 2017 21:58

    Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS