Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Oct 15, 2016 23:08

    Shambulio la hivi karibuni la watu wasiofahamika katika kituo cha ulinzi wa mpakani kati ya Myanmar na Bangladesh kimekuwa kisingizio tosha kwa jeshi na Mabudha wenye misimamo mikali huko Myanmar cha kuwashambulia tena Waislamu wa Rohingya katika mkoa wa Rakhine.

  • UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    Oct 12, 2016 12:24

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, jambo hilo litakuwa hatari kubwa kwa dunia nzima.

  • Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Oct 12, 2016 00:54

    Jeshi la Nigeria limewazingria Waislamu wa madheebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini katika hafla ya maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.

  • Gavana wa Mombasa adai  Masheikhe 24  wameuawa na serikali

    Gavana wa Mombasa adai Masheikhe 24 wameuawa na serikali

    Oct 08, 2016 23:32

    Gavana wa ODM katika kaunti ya Mombasa nchini Kenya ameikosoa vikali serikali kutokana na kukithiri mauaji ya washukiwa mbali mbali na hususan wa ugaidi na kudai kuwa vyombo vya usalama nchini humo vimeua Masheikh zaidi ya 24 katika miaka ya hivi karibuni.

  • Rais Rouhani: Ulimwengu wa Kiislamu utakombolewa kwa misimamo ya wastani

    Rais Rouhani: Ulimwengu wa Kiislamu utakombolewa kwa misimamo ya wastani

    Oct 08, 2016 03:36

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Ulimwengu wa Kiislamu utakombolewa tu kwa misimamo ya wastani na kupambana na utumiaji mabavu.

  • Kutokubalika vitendo vya utumiaji mabavu vya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu

    Kutokubalika vitendo vya utumiaji mabavu vya jeshi la Nigeria dhidi ya Waislamu

    Oct 04, 2016 08:28

    Katika hali ambayo malalamiko dhidi ya kuendelea kushikiliwa Sheikh Ibrahim Zakzaky yangali yanashuhudiwa nchini Nigeria, jeshi la nchi hiyo limeongeza miamala yake ya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu.

  • Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Oct 04, 2016 04:29

    Wanazuoni wakuu wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na watawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehenu ya Shia hususan wakati huu wanapofanya marasimu mbali mbali ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.

  • Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Oct 03, 2016 03:59

    Magenge yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya nchini Ujerumani yameendelea kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu kwa kutupa kichwa cha nguruwe nje ya msikiti wa mji wa Potsdam, makao makuu ya mkoa wa Brandenburg, nchini Ujerumani.

  • Bulgaria yapiga marufuku vazi la burqa kote nchini

    Bulgaria yapiga marufuku vazi la burqa kote nchini

    Oct 01, 2016 04:31

    Sasa ni rasmi kuwa Bulgaria imejiunga na baadhi ya nchi za Magharibi zilizopiga marufuku vazi la burqa, baada ya bunge la nchi hiyo kupasisha sheria inayopiga marufuku vazi hilo linalovaliwa na wanawake Waislamu nchini kote.

  • Muwahhabi aliyebomoa turathi za Kiislamu Mali afungwa miaka tisa jela

    Muwahhabi aliyebomoa turathi za Kiislamu Mali afungwa miaka tisa jela

    Sep 27, 2016 23:09

    Muwahhabi mwenye misimamo mikali, Ahmed Al-Faqi Al-Mahdi amepatikana na hatia ya uhalifu wa kivita na kuhukumiwa miaka 9 jela katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS