Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Malaysia yataka kupatiwa ufumbuzi matatizo ya Waislamu wa Rohingya

    Malaysia yataka kupatiwa ufumbuzi matatizo ya Waislamu wa Rohingya

    Sep 25, 2016 00:45

    Ahmad Zahid Hamidi Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia ametaka kutekelezwa mpango kamili na jumuishi wa kuyapatia ufumbuzi matatizo yanayowakabili Waislamu wa Rohingya; ambao wamelazimika kuhama Myanmar na kuwa wakimbizi kutokana na mashinikizo ya Mabudha wenye misimamo mikali wa nchi hiyo.

  • Seneta nchini Australia akoloslewa kwa matamshi yake dhidi ya Waislamu

    Seneta nchini Australia akoloslewa kwa matamshi yake dhidi ya Waislamu

    Sep 17, 2016 23:18

    Seneta Pauline Hanson wa Australia amekosolewa kwa matamshi yake yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Waislamu Afrika Kusini wavunjiwa heshima

    Waislamu Afrika Kusini wavunjiwa heshima

    Sep 16, 2016 09:56

    Wananchi wa mji wa Tshwane nchini Afrika Kusini wamebainisha hasira zao baada ya kupatikana maandishi ukutani yenye kuwavunjia heshima Waislamu.

  • Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Sep 15, 2016 11:27

    Waislamu nchini Nigeria kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Msikiti wateketezwa  moto na wenye chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    Msikiti wateketezwa moto na wenye chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    Sep 13, 2016 03:12

    Kituo cha Kiislamu katika jimbo la Florida Marekani kimeteketezwa moto na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu.

  • Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Sep 13, 2016 02:29

    Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamewakana na kuwalaani wanawake watatu waliotekeleza hujuma ya kigaidi dhidi ya kituo cha polisi mjini Mombasa siku ya Jumapili.

  • Ethiopia yaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu

    Ethiopia yaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu

    Sep 12, 2016 03:34

    Ethiopia imetangaza kuwaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu ambao walikuwa wanashikiliwa kwa kupinga uingiliaji wa serikali katika mambo yao ya kidini.

  • Maafa ya Mina ni thibitisho watawala wa Aal Saud hawastahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu

    Maafa ya Mina ni thibitisho watawala wa Aal Saud hawastahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu

    Sep 12, 2016 03:28

    Khatibu wa Sala ya Idul Adhaa mjini Tehran amesema maafa ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana ni thibitisho kuwa utawala wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Maeneo Mawili Matakatifu ya Waislamu.

  • Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi

    Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi

    Sep 11, 2016 22:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Adha.

  • Ayatullah Nouri Hamedani: Haram mbili tukufu ni milki ya Waislamu wote

    Ayatullah Nouri Hamedani: Haram mbili tukufu ni milki ya Waislamu wote

    Sep 09, 2016 03:30

    Ayatullah Hussein Nouri Hamedani, mmoja wa Marjaa Taqlidi aliyeko katika mji wa Qom amesema: Haram mbili tukufu za Makka na Madina zilizoko nchini Saudi Arabia ni milki ya Waislamu wote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS