Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Jamii ya Waislamu Ujerumani yalaani kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Jamii ya Waislamu Ujerumani yalaani kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Sep 08, 2016 09:51

    Jamii ya Waislamu nchini Ujerumani imelaani vikali mwenendo wa kuongezeka chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Kongamano kubwa la Waislamu lafanyika katika jimbo la Chicago, Marekani

    Kongamano kubwa la Waislamu lafanyika katika jimbo la Chicago, Marekani

    Sep 04, 2016 23:53

    Kongamano kubwa la 53 la Jamii ya Kiislamu ya Amerika ya Kaskazini (ISNA) linafanyika katika jimbo la Chicago nchini Marekani.

  • Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Aug 27, 2016 07:52

    Afisa wa kwanza wa kike wa polisi wa Marekani, ameanza kazi katika jeshi hilo kwa kuvaa sare ya Hijabu katika mji wa Dearborn kwenye jimbo la Michigan.

  • Wanaharakati London na Berlin walaani marufuku ya vazi la Kiislamu

    Wanaharakati London na Berlin walaani marufuku ya vazi la Kiislamu

    Aug 26, 2016 22:16

    Wanaharakati wanaopinga vitendo vya chuki dhidi ya dini ya Kiislamu wamefanya maandamano katika miji ya London na Berlin kulaani marufuku vazi la Kiislamu katika pwani za Ufaransa.

  • Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Aug 25, 2016 03:04

    Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.

  • Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Aug 24, 2016 23:49

    Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.

  • Ndugu watatu Waislamu wateremshwa kwenye ndege kwa kutuhumiwa kuwa wanachama wa Daesh

    Ndugu watatu Waislamu wateremshwa kwenye ndege kwa kutuhumiwa kuwa wanachama wa Daesh

    Aug 24, 2016 10:29

    Ndugu watatu Waislamu raia wa Uingereza wamefikwa na mkasa wa kuteremshwa kwenye ndege katika uwanja wa ndege wa London na kuhojiwa kwa muda wa saa nzima baada ya abiria wenzao kuwatuhumu kuwa ni wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Aug 17, 2016 23:09

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.

  • Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Aug 17, 2016 09:36

    Utafiti uliofanywa na kituo cha utafiti cha Pew Research Center cha Marekani umeonyesha kuwa, Uislamu utasalia kuwa dini yenye kukuwa kwa kasi zaidi duniani katika kipindi cha miongo kadhaa ijayo.

  • Imam na msaidizi wake wauawa kwa risasi New York, Marekani

    Imam na msaidizi wake wauawa kwa risasi New York, Marekani

    Aug 14, 2016 02:35

    Imam wa msikiti mmoja katika jimbo la New York nchini Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika mazingira ya kutatanisha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS