-
Jamii ya Waislamu Ujerumani yalaani kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu
Sep 08, 2016 09:51Jamii ya Waislamu nchini Ujerumani imelaani vikali mwenendo wa kuongezeka chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Kongamano kubwa la Waislamu lafanyika katika jimbo la Chicago, Marekani
Sep 04, 2016 23:53Kongamano kubwa la 53 la Jamii ya Kiislamu ya Amerika ya Kaskazini (ISNA) linafanyika katika jimbo la Chicago nchini Marekani.
-
Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza
Aug 27, 2016 07:52Afisa wa kwanza wa kike wa polisi wa Marekani, ameanza kazi katika jeshi hilo kwa kuvaa sare ya Hijabu katika mji wa Dearborn kwenye jimbo la Michigan.
-
Wanaharakati London na Berlin walaani marufuku ya vazi la Kiislamu
Aug 26, 2016 22:16Wanaharakati wanaopinga vitendo vya chuki dhidi ya dini ya Kiislamu wamefanya maandamano katika miji ya London na Berlin kulaani marufuku vazi la Kiislamu katika pwani za Ufaransa.
-
Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab
Aug 25, 2016 03:04Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.
-
Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab
Aug 24, 2016 23:49Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.
-
Ndugu watatu Waislamu wateremshwa kwenye ndege kwa kutuhumiwa kuwa wanachama wa Daesh
Aug 24, 2016 10:29Ndugu watatu Waislamu raia wa Uingereza wamefikwa na mkasa wa kuteremshwa kwenye ndege katika uwanja wa ndege wa London na kuhojiwa kwa muda wa saa nzima baada ya abiria wenzao kuwatuhumu kuwa ni wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'
Aug 17, 2016 23:09Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.
-
Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani
Aug 17, 2016 09:36Utafiti uliofanywa na kituo cha utafiti cha Pew Research Center cha Marekani umeonyesha kuwa, Uislamu utasalia kuwa dini yenye kukuwa kwa kasi zaidi duniani katika kipindi cha miongo kadhaa ijayo.
-
Imam na msaidizi wake wauawa kwa risasi New York, Marekani
Aug 14, 2016 02:35Imam wa msikiti mmoja katika jimbo la New York nchini Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika mazingira ya kutatanisha.