-
Askari waliostaafu Marekani watishia kuwachinja Waislamu Texas
Aug 09, 2016 09:17Wanajeshi waliostaafu katika jimbo la Texas nchini Marekani wametishia kuwakata vichwa kwa mapanga Waislamu watakaoenda kutekeleza ibada ya swala katika msikiti mmoja jimboni hapo.
-
Waislamu nchini Nigeria waandamana kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru
Aug 08, 2016 10:12Waislamu nchini Nigeria wameendelea kufanya maandamano ya amani wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo aliyewekwa kizuizini na vikosi vya usalama vya nchi hiyo.
-
Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe
Aug 02, 2016 03:00Jopo la uchunguzi lililotwika jukumu la kuchunguza mauaji ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria limekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika liliuawa Waislamu zaidi ya 300 katika mji wa Zaria jimbo la Kaduna.
-
Waislamu wa Marekani; kitovu cha kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais
Aug 01, 2016 02:20Hotuba ya Khizr Khan, baba wa askari mmoja Mmarekani Muislamu aliyeuawa katika vita vya Iraq, kwa mara nyengine tena imeifanya hali na nafasi ya Waislamu kuwa kitovu cha kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Bahrain yaendeleza ubabe, yamkamata kiongozi mwingine wa Kiislamu
Jul 30, 2016 03:40Licha ya makelele ya jamii ya kimataifa na watetezi wa haki za binadamu, utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain umemtia nguvuni kiongozi mwingine wa Kiislamu.
-
Jumatano, Julai 27, 2016
Jul 26, 2016 21:58Leo ni Jumatano tarehe 22 Shawwal 1437 Hijria sawa na Julai 27, 2016.
-
Waislamu Nigeria wapongeza kuondolewa marufuku ya hijabu
Jul 24, 2016 03:30Waislamu nchini Nigeria wamepongeza uamuzi wa Mahakama ya Rufaa mjini Lagos kufutulia mbali marufuku ya kuvaa hijabu katika shule za umma mjini hapo.
-
Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi
Jul 24, 2016 00:00Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi ya hapo jana iliyosababisha vifo vya makumi ya watu nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, wakati umefika kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni waungane kwa shabaha ya kulikabili kwa pamoja jinamizi la ugaidi.
-
Bahrain yazuia Swala ya Ijumaa na kukamata watu 50 Diraz
Jul 22, 2016 23:37Katika muendelezo wa wimbi la ukandamizaji na dhulma za utawala wa kifalme wa Aal-Khalifa, maafisa usalama nchini Bahrain walizuia Swala ya Ijumaa hapo jana sambamba na kuwatia mbaroni watu 50 katika kijiji cha Diraz, kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Waziri Mkuu wa Ufaransa aonya kuhusu hujuma dhidi ya Waislamu nchini humo
Jul 21, 2016 23:49Waziri Mkuu wa Ufaransa ameonya kuhusu hatari ya kuhujumiwa Waislamu wanaoishi nchini humo.