Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Msomi wa Kisunni Iran atoa wito wa kuugwa mkono Waislamu Kashmir

    Msomi wa Kisunni Iran atoa wito wa kuugwa mkono Waislamu Kashmir

    Jul 21, 2016 23:47

    Msomi wa Kisunni ambaye pia ni mwanachama wa Baraza la Wataalamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kulaani mauaji ya hivi karibuni ya ndugu zao wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.

  • Waziri Mkuu Ufaransa: Kuna hatari Waislamu wakashambuliwa

    Waziri Mkuu Ufaransa: Kuna hatari Waislamu wakashambuliwa

    Jul 21, 2016 02:14

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu hatari ya kushambuliwa Waislamu nchini humo.

  • Waislamu Marekani waanzisha kampeni dhidi ya Trump

    Waislamu Marekani waanzisha kampeni dhidi ya Trump

    Jul 21, 2016 01:51

    Waislamu wa Marekani wameanzisha "Harakati ya Kura Milioni Moja" kwa shabaha ya kukabiliana na misimamo inayopiga vita Uislamu ya mgombea urais wa nchi hiyo kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump.

  • Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi

    Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi

    Jul 17, 2016 03:36

    Rais wa Senegal amesema kuwa Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi duniani.

  • Newt Gingrich: Waislamu wafukuzwe Marekani

    Newt Gingrich: Waislamu wafukuzwe Marekani

    Jul 16, 2016 00:06

    Spika wa zamani wa Kongresi ya Marekani amesema kuwa Waislamu wanaoshikamana na sheria za Kiislamu wanapaswa kufukuzwa nchini Marekani.

  • Waislamu Uingereza  washtushwa na kuteuliwa Bi. May kama Waziri Mkuu

    Waislamu Uingereza washtushwa na kuteuliwa Bi. May kama Waziri Mkuu

    Jul 14, 2016 02:00

    Waislamu nchini Uingereza wameshtushwa na kuteuliwa Bi. Theresa May kama Waziri Mkuu kutokana na sera zake haribifu kwa jamii ya Waislamu nchini humo.

  • Viogozi wa Waislamu Kenya walalamikia safari ya Netanyahu

    Viogozi wa Waislamu Kenya walalamikia safari ya Netanyahu

    Jul 10, 2016 02:17

    Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Jul 09, 2016 23:10

    Misikiti kadhaa mjini London Uingereza imepokea vitisho vya kigaidi kutoka kwa makundi yanayoaminika kuwa ya wabaguzi wa mrengo wa kulia huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vikiongezeka nchini humo.

  • IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 08, 2016 03:28

    Kamisheni ya Kiislamu ya Haki za Binadamu yenye makao yake London nchini Uingereza (IHRC) imesema kuwa kutokuwepo mashinikizo ya kimataifa ndiyo sababu ya kuendelea mateso na ukandamiza wa mabudha wenye misimamo mikali dhidi ya Waislamu nchini Myanmar.

  • 9 wafariki dunia katika mkanyagano wakisherehekea Iddi, Ghana

    9 wafariki dunia katika mkanyagano wakisherehekea Iddi, Ghana

    Jul 07, 2016 10:03

    Watu tisa wamepoteza maisha katika mkanyagano wakati wa sherehe za kuadhimisha Sikukuu ya Idul-Fitr jana usiku nchini Ghana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS