-
Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel
Jul 06, 2016 23:52Viongozi wa Waislamu katika eneo la Pwani nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu.
-
Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja
Jul 06, 2016 02:19Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Uganda lililosimamiwa na ofisi ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lilimaliza kazi zake jana mjini Kampaka kwa kusisitiza udharura wa kuimarishwa umoja baina ya Waislamu.
-
Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika
Jul 05, 2016 02:48Huku Waislamu wakijiandaa kwa ajili ya sherehe za Iddil-Fitri kutokana na kuelekea kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani, Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuadhimisha sherehe hizo kwa Amani na utulivu. Hayo yamesemwa na Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, ambapo pia amewataka Waislamu hao kujiepusha kumuasi Mwenyezi Mungu katika sherehe hizo….
-
Nchi zisizo za Kiislamu zatakiwa kuheshimu haki za Waislamu
Jul 03, 2016 08:51Mshauri iwa Rais wa Misri amesema kuwa upo ulazima kwa nchi zisizo za Kiislamu kuheshimu haki za Waislamu.
-
Sala ya Idul Fitr yafutwa Uingereza kwa kuhofia hujuma ya wenye misimamo mikali
Jul 02, 2016 23:05Sala ya Idul Fitri imefutwa katika mji mwa Southampton Uingereza kufuatia ripoti kuwa makundi ya watu wenye misimamo mikali wenye chuki dhidi ya Waislamu wanapanga kuvuruga sala hiyo.
-
UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Jul 02, 2016 03:30Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Haki za Binadamu nchini Myanmar ametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu
Jul 01, 2016 03:26Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.
-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran la kushiriki kwa wingi katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 30, 2016 08:59Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kwa kushiriki kwa hamasa kubwa wananchi wa Iran na mataifa mengine ya Kiislamu katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ni ujumbe wa nguvu kwa maadui wa Uislamu na kwa mabeberu wa dunia.
-
Waislamu Marekani wataka kudhaminiwa usalama
Jun 27, 2016 23:33Baraza la Uhusiano wa Uislamu na Marekani (CAIR) limeitaka serikali ya nchi hiyo kuzidisha usalama na kulinda misikiti ya vituo vya Kiislamu husuan katika jimbo la New York.
-
Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha
Jun 20, 2016 23:18Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuendelea jinai za mabudha dhidi ya Waislamu wa Myanmar.