-
Polisi na raia wa Ugiriki wapambana na wahajiri wanaoingia Ulaya
Mar 02, 2020 22:54Polisi na kundi la raia wa Ugiriki wamekabiliana na wahajiri wanaovuka mpaka kuelekea Ulaya.
-
Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi
Mar 01, 2020 07:09Uingiliaji wa wazi wa askari wa Uturuki katika mkoa wa Idlib nchini Syria, katika kuyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayoendesha harakati zake mkoani humo, umepata uungaji mkono wa Wamagharibi.
-
UNHCR: Watu milioni 70 duniani wamelazimika kuhama makwao
Dec 17, 2019 01:18Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNCHR) linasema zaidi ya watu milioni 70 duniani wamelazimika kuhama kutokana na vita, mizozo na mateso.
-
Watetezi wa haki za binadamu: Marekani si mahala salama kwa wakimbizi
Nov 05, 2019 08:49Watetezi wa haki za binadamu wamekosoa baadhi ya sheria ngumu za uhamiaji za Marekani na kutangaza kuwa nchi hiyo si salama na mahala pa amani kwa wakimbizi katika kipindi cha utawala wa Donald Trump.
-
Wahajiri 20 watiwa nguvuni wakiwa ndani ya malori huko Ubelgiji
Oct 27, 2019 04:01Polisi ya Ubelgiji imetangaza kuwa, imekamata malori mawili yaliyokuwa yamebeba wahajiri 20 wakiwa njiani kupelekwa Uingereza.
-
UN: Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya
Oct 12, 2019 04:27Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya kufikia sasa.
-
Ujerumani yatahadharisha kuhusu kukaririwa mgogoro wa wahajiri barani Ulaya
Oct 08, 2019 23:38Horst Seehofer Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani alitahadharisha jana katika kikao cha Mawaziri wa Nchi za Ulaya huko Brussels kuwa, kuna uwezekano wa kukaririwa mgogoro wa wahajiri barani Ulaya kama ule ulioshuhudiwa mwaka 2015.
-
UNHCR: Zaidi ya wahajiri 1,000 wamekufa maji mwaka huu katika bahari ya Mediterania
Oct 02, 2019 01:07Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 1,000 wamekufa maji mwaka huu katika bahari ya Mediterania wakiwa katika juhudi za kuelea barani Ulaya kutafuta maisha mazuri.
-
Papa azikosoa nchi zinazouza silaha na kuwafukuza wakimbizi
Sep 30, 2019 04:15Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema mashindano ya kuuza silaha yanayofanywa na nchi fulani duniani ndiyo sababu ya ghasia na mauaji ya watu wakiwemo watoto wadogo katika nchi zinazoshuhudia vita katika kona mbalimbali duniani.
-
UN: Watu 1,500 wakimbia mauaji na hujuma dhidi ya wageni Afrika Kusini
Sep 21, 2019 02:48Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia wa kigeni zaidi ya 1,500 wanaoishi Afrika Kusini wamekimbia makazi yao kwa kuhofia mashambulizi yanayowalenga wageni hususan raia wa nchi za Kiafrika wanaoishi nchini humo.