-
Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani
Aug 31, 2019 16:08Umaarufu wa Rais Donald Trump wa Marekani unazidi kupungua kwa kasi nchini humo huku uchaguzi mkuu wa 2020 ukikaribia. Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni, umaarufu wa Trump umepungua miongoni mwa wanawake wa Marekani.
-
Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan
Aug 05, 2019 12:12Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limendika kuwa, mfumo mpya wa utawala nchini Sudan umepuuza nafasi na mchango mkubwa wa wanawake katika mapinduzi yaliyouondoa madarakani utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir.
-
Zaidi ya nusu ya wanawake nchini Morocco wanakabiliwa na ukatili
May 16, 2019 06:31Uchunguzi rasmi uliotangazwa nchini Morocco unaonyesha kwamba, zaidi ya nusu ya wanawake wa nchi hiyo wanakumbwa na ukatili dhidi yao.
-
Tanzania yatakiwa kuangalia upya sheria zinazokandamiza wanawake
Mar 08, 2019 07:58Huku Tanzania ikijiunga na nchi nyingine duniani katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake inayoadhimishwa hii leo, serikali ya Dar es Salaam imetakiwa kuangalia upya sera na sheria zinazohusu wanawake ili kuimarisha ustawi wao.
-
Miaka 40 ya kuwa bega kwa bega wanawake na Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Feb 04, 2019 05:48Tukichunguza kwa makini mapinduzi na mabadiliko mbalimbali ambayo yametokea duniani hadi sasa tutabaini kuwa wanawake wameshiriki na wametoa mchango athirifu katika akthari ya mapinduzi hayo. Katika moja ya sifa maalumu za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni kushiriki kwa wingi wanawake na mchango mkubwa waliotoa katika mapinduzi hayo.
-
Wanawake Wapalestina wanaoshikiliwa katika jela za Israel wanadhalilishwa kijinsia na kuteswa
Nov 29, 2018 03:09Wanawake Wapalestina ambao wameingizwa hivi karibuni katika jela ya utawala haramu wa Kizayuni ya Hasharon, katika eneo la Al-Damun, wamesema kwamba wanakabiliwa na mateso makubwa na kutusiwa huku haki yao ya kupatiwa huduma za kiafya ikipuuzwa na utawala huo.
-
Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel
Oct 05, 2018 15:44Denis Mukwege, daktari bingwa wa upasuaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na mwanaharakati wa Iraq, Nadia Murad wametangazwa washindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka huu 2018.
-
Mashambulizi dhidi ya wanawake wa Kiislamu yaongozeka Ubelgiji
Sep 10, 2018 04:10Takwimu zinaonesha kuwa, karibu asilimia 76 ya wanawake Waislamu nchini Ubelgiji walishambuliwa na magenge ya watu wanaopinga Uislamu nchini humo katika mwaka uliopita wa 2017.
-
Wazayuni wawapiga na kuwatukana wanawake wa Palestina
Aug 21, 2018 07:36Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga na kuwashambulia kwa maneno wanawake kadhaa wa Kipalestina.
-
Wanajeshi wa Israel wawapiga wanawake wa Kipalesatina na kuwavua hijabu zao
Jul 05, 2018 07:52Wanajeshi wa Israel wametenda jinai nyingine baada ya kuwapiga, kuwadhalilisha na kuwavua hijabu wanawake wa Kipalestina katika kijiji cha Khan al-Ahmar mashariki mwa mji wa Quds.