Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Kamati ya Nyuklia ya Iran: Tutajiondoa NPT, JCPOA iwapo tutaendelea kuwekewa vikwazo

    Kamati ya Nyuklia ya Iran: Tutajiondoa NPT, JCPOA iwapo tutaendelea kuwekewa vikwazo

    May 01, 2019 03:07

    Mwenyekiti wa Kamati ya Nyuklia ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema iwapo taifa hili litaendelea kukabiliwa na vikwazo, basi Tehran itajitoa katika Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Atomiki (NPT) sambamba na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Bunge la Uingereza latahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia duniani

    Bunge la Uingereza latahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia duniani

    Apr 26, 2019 02:08

    Kamati ya Mahusiano ya Kimataifa ya Bunge la Uingereza imetoa taarifa inayoonya juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia kati ya nchi zenye silaha hizo.

  • Sisitizo la Yukiya Amano la ulazima wa kukaguliwa miradi ya nyuklia ya Saudi Arabia

    Sisitizo la Yukiya Amano la ulazima wa kukaguliwa miradi ya nyuklia ya Saudi Arabia

    Apr 07, 2019 23:35

    Katika miaka ya hivi karibuni Saudi Arabia imeanzisha juhudi kubwa za kupata teknolojia ya nyuklia. Utawala wa Aal-Saud unaungwa mkono wazi wazi na madola ya Magharibi hususan Marekani katika juhudi zake hizo. Muda wote huu, harakati hizo za pupa za Saudia katika wigo wa nyuklia zimekuwa zikifanyika kwa siri na bila kusimamiwa na taasisi za kimataifa kama Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Yukiya Amano: Saudia ituwekee dhamana kuhusiana na miradi yake ya nyuklia

    Yukiya Amano: Saudia ituwekee dhamana kuhusiana na miradi yake ya nyuklia

    Apr 06, 2019 21:56

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Yukiya Amano ameitaka Saudi Arabia kuweka dhamana za kiusalama kuhusiana na kinu chake cha kwanza cha nyuklia.

  • Marekani yaafiki kuiuzia Saudi Arabia teknolojia ya siri ya nyuklia

    Marekani yaafiki kuiuzia Saudi Arabia teknolojia ya siri ya nyuklia

    Mar 28, 2019 03:30

    Taarifa zilizofichuka zimebaini kuwa, Marekani imeuuzia utawala wa Saudi Arabia siri za nyuklia.

  • Tanzania yasema imeimarisha usimamizi wa matumizi salama ya nyuklia

    Tanzania yasema imeimarisha usimamizi wa matumizi salama ya nyuklia

    Mar 12, 2019 04:31

    Serikali ya Tanzania kupitia Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imefanikiwa kuimarisha usimamizi na udhibiti wa matumizi ya teknolojia ya nyuklia nchini humo.

  • Marekani inaipa Saudia teknolojia ya silaha za nyuklia

    Marekani inaipa Saudia teknolojia ya silaha za nyuklia

    Feb 20, 2019 04:27

    Ripoti ya Bunge la Kongresi nchini Marekani imebaini kuwa utawala wa Donald Trump uko mbioni kuikabidhi Saudi Arabia teknolojia ya siri ya kuunda silaha za nyuklia.

  • Mafanikio ya Sayansi Iran baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Mafanikio ya Sayansi Iran baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 04, 2019 06:13

    Makala hii tumekutayarishia kwa munasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Katika makala ya leo tutaangazia mafanikio ya sayansi na teknolojia nchini Iran.

  • Salehi: Ushirikiano wa Iran na Ulaya unaendelea katika miradi ya nyuklia

    Salehi: Ushirikiano wa Iran na Ulaya unaendelea katika miradi ya nyuklia

    Feb 03, 2019 03:31

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa ushirikiano kati ya Iran na Ulaya katika miradi mbalimbali ya kinyuklia unapiga hatua nzuri.

  • Salehi: Iran iko tayari kushirikiana na nchi za eneo hili katika suala la nyuklia

    Salehi: Iran iko tayari kushirikiana na nchi za eneo hili katika suala la nyuklia

    Jan 27, 2019 23:14

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kushirikiana na nchi zote za eneo hili katika suala la nishati ya atomiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS