-
Kamati ya Nyuklia ya Iran: Tutajiondoa NPT, JCPOA iwapo tutaendelea kuwekewa vikwazo
May 01, 2019 03:07Mwenyekiti wa Kamati ya Nyuklia ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema iwapo taifa hili litaendelea kukabiliwa na vikwazo, basi Tehran itajitoa katika Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Atomiki (NPT) sambamba na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Bunge la Uingereza latahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia duniani
Apr 26, 2019 02:08Kamati ya Mahusiano ya Kimataifa ya Bunge la Uingereza imetoa taarifa inayoonya juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia kati ya nchi zenye silaha hizo.
-
Sisitizo la Yukiya Amano la ulazima wa kukaguliwa miradi ya nyuklia ya Saudi Arabia
Apr 07, 2019 23:35Katika miaka ya hivi karibuni Saudi Arabia imeanzisha juhudi kubwa za kupata teknolojia ya nyuklia. Utawala wa Aal-Saud unaungwa mkono wazi wazi na madola ya Magharibi hususan Marekani katika juhudi zake hizo. Muda wote huu, harakati hizo za pupa za Saudia katika wigo wa nyuklia zimekuwa zikifanyika kwa siri na bila kusimamiwa na taasisi za kimataifa kama Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Yukiya Amano: Saudia ituwekee dhamana kuhusiana na miradi yake ya nyuklia
Apr 06, 2019 21:56Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Yukiya Amano ameitaka Saudi Arabia kuweka dhamana za kiusalama kuhusiana na kinu chake cha kwanza cha nyuklia.
-
Marekani yaafiki kuiuzia Saudi Arabia teknolojia ya siri ya nyuklia
Mar 28, 2019 03:30Taarifa zilizofichuka zimebaini kuwa, Marekani imeuuzia utawala wa Saudi Arabia siri za nyuklia.
-
Tanzania yasema imeimarisha usimamizi wa matumizi salama ya nyuklia
Mar 12, 2019 04:31Serikali ya Tanzania kupitia Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imefanikiwa kuimarisha usimamizi na udhibiti wa matumizi ya teknolojia ya nyuklia nchini humo.
-
Marekani inaipa Saudia teknolojia ya silaha za nyuklia
Feb 20, 2019 04:27Ripoti ya Bunge la Kongresi nchini Marekani imebaini kuwa utawala wa Donald Trump uko mbioni kuikabidhi Saudi Arabia teknolojia ya siri ya kuunda silaha za nyuklia.
-
Mafanikio ya Sayansi Iran baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 04, 2019 06:13Makala hii tumekutayarishia kwa munasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Katika makala ya leo tutaangazia mafanikio ya sayansi na teknolojia nchini Iran.
-
Salehi: Ushirikiano wa Iran na Ulaya unaendelea katika miradi ya nyuklia
Feb 03, 2019 03:31Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa ushirikiano kati ya Iran na Ulaya katika miradi mbalimbali ya kinyuklia unapiga hatua nzuri.
-
Salehi: Iran iko tayari kushirikiana na nchi za eneo hili katika suala la nyuklia
Jan 27, 2019 23:14Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kushirikiana na nchi zote za eneo hili katika suala la nishati ya atomiki.