Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Jumatano, Mei 7, 2025

    Jumatano, Mei 7, 2025

    May 07, 2025 06:41

    Leo ni Jumatano tarehe 09 Mfunguo Pili Dhulqaada 1446 Hijria sawa na tarehe 7 Mei 2025 Milaadia.

  • Ijumaa, tarehe 18 Aprili, 2025

    Ijumaa, tarehe 18 Aprili, 2025

    Apr 18, 2025 02:32

    Leo ni Ijumaa tarehe 19 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprli 18 mwaka 2025.

  • Kwa nini Rais Mnangagwa wa Zimbabwe anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu?

    Kwa nini Rais Mnangagwa wa Zimbabwe anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu?

    Apr 03, 2025 11:35

    Mgawanyiko unaendelea kushuhudiwa ndani wa chama tawala cha ZANU-PF nchini Zimbabwe umeibua hofu ya uwezekano wa jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Mnangagwa, ambaye anajaribu kusalia madarakani baada ya mwaka 2028 licha ya kuwa ni kinyume na katiba.

  • Zimbabwe: Tunafanya hima kujiunga na kundi la BRICS

    Zimbabwe: Tunafanya hima kujiunga na kundi la BRICS

    Mar 08, 2025 07:01

    Zimbabwe inafanya kila liwezekanalo kujiunga na kundi la BRICS, ikilenga kuimarisha uchumi wake na ushirikiano wa kimataifa.

  • Nchi nyingine ya Afrika yataka kujiunga na jumuiya ya BRICS

    Nchi nyingine ya Afrika yataka kujiunga na jumuiya ya BRICS

    Jun 20, 2024 02:51

    Zimbabwe imesema iko tayari kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS, ambayo itatoa fursa nzuri kwa nchi hiyo kufanya biashara katika mazingira huru na nchi nyingine wanachama.

  • Iran: Lugha ya Kifarsi kufundishwa katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe

    Iran: Lugha ya Kifarsi kufundishwa katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe

    May 10, 2024 07:23

    Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran ametangaza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuanza kufunza lugha ya Kifarsi katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe.

  • Jumanne,  Mei 7, 2024

    Jumanne, Mei 7, 2024

    May 07, 2024 02:15

    Leo ni Jumanne tarehe 28 Mfunguo Mosi Shawwal 1445 Hijria sawa na tarehe 7 Mei 2024.

  • Alkhamisi, tarehe 18 Aprili, 2024

    Alkhamisi, tarehe 18 Aprili, 2024

    Apr 18, 2024 03:03

    Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Shawwal 1443 Hijria sawa na Aprli 18 mwaka 2024.

  • Mahakama ya Zimbabwe yawazuia wabunge wa upinzani kushiriki uchaguzi muhimu wa kesho Jumamosi

    Mahakama ya Zimbabwe yawazuia wabunge wa upinzani kushiriki uchaguzi muhimu wa kesho Jumamosi

    Dec 08, 2023 14:28

    Mahakama ya Zimbabwe imewazuia wagombea wengi wa upinzani kushiriki katika uchaguzi mdogo uliopangwa kufnyika siku ya Jumamosi ya kesho ambao yumkini ukakiwezesha chama tawala cha ZANU-PF kufanya mabadiliko ya katiba.

  • Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu

    Zimbabwe yatangaza 'hali ya dharura' Harare kutokana na kipindupindu

    Nov 18, 2023 03:48

    Zimbabwe imetangaza hali ya dharura katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare, kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambo umeua makumi ya watu, mbali na maelfu ya wengine kupata maambukizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS