-
Wasiwasi watanda Zimbabwe baada ya Mugabe kuonekana kuunga mkono mpinzani
Mar 09, 2018 03:42Wasiwasi umetanda katika chama tawala nchini Zimbabwe, ZANU-PF, baada ya rais wa zamani Robert Mugabe kuonekana hadharani akiwa ameandamana na jenerali mstaafu ambaye yuko katika kambi ya upizani na ambaye anapanga kuwania urais baadaye mwaka huu.
-
Mfuasi wa Mugabe aunda chama kipya cha siasa Zimbabwe kuchuana na rais Mnangagwa katika uchaguzi
Mar 05, 2018 22:58Ambrose Mutinhiri, jenerali mstaafu wa jeshi la Zimbabwe na mfuasi wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe ameunda chama kipya cha siasa kinachojulikana kama Harakati Mpya ya Kizalendo (NFP) kuchuana na rais Emmerson Mnangagwa katika uchaguzi mkuu ujao.
-
Maelfu ya Wazimbabwe wauaga mwili wa 'Jenerali wa Watu' Tsvangirai; maziko yake kufanyika leo
Feb 20, 2018 04:49Shughuli ya kutoa heshima na kuuaga mwili wa aliyekuwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe MDC Morgan Tsvangirai imefanyika kwenye viunga vya mji mkuu Harare.
-
Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe
Feb 16, 2018 23:10Serikali ya Uingereza imetangaza azma yake ya kuwafukuza nchini humo maelfu ya wahajiri haramu raia wa Zimbabwe.
-
Rais wa Zimbabwe amteua Jaji wa Mahakama Kuu kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
Jan 31, 2018 23:09Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amemteua Jaji wa Mahakama Kuu Priscilla Chigumba kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wakati nchi hiyo inajiandaa kwa uchaguzi mkuu muhimu ambao itibari yake inatazamiwa kuwa na umuhimu mkubwa katika kujenga tena uhusiano wake wa nje.
-
Rais wa Zimbabwe: Nitaheshimu matokeo ya uchaguzi wa rais
Jan 24, 2018 11:09Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameahidi kuwa nchi hiyo itafanya uchaguzi wa urais kabla ya Julai mwaka huu na kwamba ataheshimu uamuzi wa wananchi.
-
Chama tawala Zimbabwe chawatimua bungeni wafuasi 11 wa Mugabe
Jan 19, 2018 04:17Chama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF kimewafukuza bungeni waitifaki na wafuasi 11 wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe, huku rais mpya Emmerson Mnangagwa akiendelea kuwatimua maafisa waliomuunga mkono hadharani Mugabe na mkewe Grace.
-
Rais Mnangagwa: Uchaguzi wa Zimbabwe kufanyika baada ya miezi minne au mitano
Jan 19, 2018 00:57Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ametangaza kuwa, uchaguzi mkuu wa nchi hiyo utafanyika katika kipindi cha miezi minne au mitano ijayo.
-
Mawaziri wawili wa serikali iliyopita ya Zimabwe wafunguliwa mashtaka ya ufisadi
Jan 06, 2018 13:26Mawaziri wawili waliohudumu katika serikali ya aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe wamefunguliwa mashtaka ya ufisadi, katika kile kinachoonekana kama hatua ya kuwakandamiza maafisa waaminifu kwa Mugabe.
-
Rais wa Zimbabwe abadilisha msimamo kuhusu serikali ya umoja wa kitaifa
Jan 05, 2018 23:30Habari kutoka nchini Zimbabwe zinasema kuwa rais wa nchi hiyo amekubaliana na mpango wa kuweko serikali ya umoja wa kitaifa nchini humo.