Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Zimbabwe yakataa wito wa kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja

    Zimbabwe yakataa wito wa kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja

    Nov 08, 2016 03:55

    Serikali ya Zimbabwe imesema katu haitokubali wito wa Umoja wa Mataifa wa kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Rais Mugabe aidhinisha 'sarafu mpya' Zimbabwe

    Rais Mugabe aidhinisha 'sarafu mpya' Zimbabwe

    Nov 02, 2016 00:54

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametumia mamlaka ya ofisi yake kutoa dikrii inayoidhinisha matumizi ya sarafu mpya nchini humo, licha ya asasi za kiraia kusisitiza kuwa uamuzi huo ni kinyume cha sheria.

  • Wanafunzi elfu 80 kuacha shule kutokana na njaa Zimbabwe

    Wanafunzi elfu 80 kuacha shule kutokana na njaa Zimbabwe

    Oct 19, 2016 11:58

    Wanafunzi zaidi ya 80,000 nchini Zimbabwe wapo katika hatari ya kukatiza masomo yao kutokana na baa la njaa ambalo limefikia "kiwango cha kutisha."

  • Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe

    Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe

    Oct 08, 2016 10:35

    Hatima ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu ijinyakulie uhuru sasa ipo mikononi mwa mahakama ya katiba ya nchi hiyo.

  • Ukandamizaji wa polisi dhidi ya waandamanaji nchini Zimbabwe

    Ukandamizaji wa polisi dhidi ya waandamanaji nchini Zimbabwe

    Sep 18, 2016 08:20

    Uepo mkubwa wa polisi katika mitaa ya mjini Harare, mji mkuu wa Zimbabwe, umezuia kufanyika maandamano ya wapinzani dhidi ya serikali.

  • Wapinzani Zimbabwe wakaidi amri ya kutoandamana

    Wapinzani Zimbabwe wakaidi amri ya kutoandamana

    Sep 16, 2016 10:01

    Muungano wa vyama vya upinzani Zimbabwe, NERA, umetangaza kukaidi amri ya polisi ya kupiga marufuku maandamano katika mji mkuu Harare.

  • Maandamano yapigwa marufuku Harare mji mkuu wa Zimbabwe

    Maandamano yapigwa marufuku Harare mji mkuu wa Zimbabwe

    Sep 13, 2016 09:17

    Duru za habari kutoka Zimbabwe zimearifu kuhusu kupigwa marufu kufanyika maandamano ya aina yoyote dhidi ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare.

  • Rais wa Zimbabwe: Majaji wamefanya uzembe kuruhusu maandamano ya upinzani

    Rais wa Zimbabwe: Majaji wamefanya uzembe kuruhusu maandamano ya upinzani

    Sep 04, 2016 09:38

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amewatuhumu majaji wa mahakama za nchi hiyo kuwa wazembe kwa kuruhusu maandamano ya kupinga serikali ambayo baadaye yaligeuka kuwa ya fujo na machafuko.

  • ZHRC: Polisi ya Zimbabwe imefanya ukatili dhidi ya wapinzani

    ZHRC: Polisi ya Zimbabwe imefanya ukatili dhidi ya wapinzani

    Aug 30, 2016 23:56

    Tume ya Haki za Binadamu ya Zimbabwe (ZHRC) imelilaumu jeshi la polisi la nchi hiyo kuwa limefanya ukatili na kukanyaga haki za wapinzani wa serikali wakati wa kuzima maandamano yao katika kipindi cha miezi miwili ya hivi karibuni.

  • Rais Mugabe atoa onyo kali kwa waandamanaji dhidi ya serikali yake

    Rais Mugabe atoa onyo kali kwa waandamanaji dhidi ya serikali yake

    Aug 27, 2016 02:52

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametoa onyo kali kwa waandamanaji dhidi ya serikali yake nchi humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS