-
Zimbabwe yapiga marufuku kuingiza magari ya zaidi ya miaka 10 nchini humo
Apr 03, 2021 07:20Zimbawe imepiga marufuku kuingiza nchini humo magari makongwe yaliyotengenezwa zaidi ya miaka 10 iliyopita ikiwa ni hatua ya kukuza viwanda vya ndani, kupunguza gharama na kukabiliana na uchafuzi wa mazingira na hali ya hewa.
-
Corona yaua waziri wa tatu ndani ya wiki moja nchini Zimbabwe
Jan 23, 2021 11:44Joel Matiza, Waziri wa Uchukuzi na Ustawi wa Miundombinu wa Zimbabwe ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19, na hivyo kuwa waziri wa tatu kuaga dunia kwa maradhi hayo katika kipindi cha siku saba.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe aaga dunia kwa corona
Jan 21, 2021 04:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe, Sibusiso Moyo ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19.
-
Waziri mwingine aaga dunia kwa corona nchini Zimbabwe
Jan 16, 2021 04:19Zimbabwe imempoteza waziri wake wa pili ambaye ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19.
-
Jumatano tarehe 30 Septemba 2020
Sep 30, 2020 02:41Leo ni Jumatano tarehe 12 Safar 1442 Hijria sawa na tarehe 30 Septemba mwaka 2020.
-
Wauguzi Zimbabwe wamaliza mgomo wao wa miezi mitatu
Sep 09, 2020 11:45Chama kikuu cha wauguzi nchini Zimbabwe kimetangaza leo Jumatano kwamba kinawahamasisha wanachama wake kumaliza mgomo wao wa kulalamikia mishahara yao ambao ulianza mwezi Juni mwaka huu. Mgomo huo wa miezi mitatu umezilazimisha hospitali kuu za nchi hiyo kushindwa kupokea wagonjwa tena wakati huu wa janga la COVID-19.
-
Zimbabwe: Wakulima wazungu wa kigeni wanaweza kuwasilisha maombi ili kurejeshewa ardhi zao walizonyang'anywa
Sep 01, 2020 12:42Wakulima wazungu waliohamia Zimbabwe ambao walinyang'anywa ardhi zao za kilimo wakati wa utawala wa Rais Robert Mugabe wanaweza kuwasilisha maombi ili kurejeshewa ardhi hizo.
-
Zimbabwe kuwalipa wakulima wazungu fidia ya dola bilioni 3.5
Jul 30, 2020 10:37Serikali ya Zimbabwe imeafiki kuwalipa wakulima wazungu fidia ya dola bilioni 3.5 kutokana na ardhi zao kuchukuliwa na serikali kwa ajili ya kuwapa wenyeji Waafrika.
-
Rais wa Zimbabwe awashambulia Wamagharibi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Afrika
May 26, 2020 02:27Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amezishambulia vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuingilia masuala ya ndani ya mataifa ya Afrika.
-
Chama kikuu cha upinzani Zimbabwe chaitaka polisi ieleze waliko wanaharakati waliotoweka
May 15, 2020 07:54Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha Harakati kwa ajili ya Mabadiliko ya Kidemokrasia (MDC) kimesema, wanaharakati wake watatu wametoweka baada ya kushiriki maandamano ya kulalamikia uhaba wa chakula; na polisi inakana kuwashikilia wakati awali ilivieleza vyombo vya habari vya ndani kwamba wanaharakati hao walikuwa wamekamatwa.