Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Wauguzi Zimbabwe wamaliza mgomo wao wa miezi mitatu

    Wauguzi Zimbabwe wamaliza mgomo wao wa miezi mitatu

    Sep 09, 2020 07:15

    Chama kikuu cha wauguzi nchini Zimbabwe kimetangaza leo Jumatano kwamba kinawahamasisha wanachama wake kumaliza mgomo wao wa kulalamikia mishahara yao ambao ulianza mwezi Juni mwaka huu. Mgomo huo wa miezi mitatu umezilazimisha hospitali kuu za nchi hiyo kushindwa kupokea wagonjwa tena wakati huu wa janga la COVID-19.

  • Zimbabwe: Wakulima wazungu wa kigeni wanaweza kuwasilisha maombi ili kurejeshewa ardhi zao walizonyang'anywa

    Zimbabwe: Wakulima wazungu wa kigeni wanaweza kuwasilisha maombi ili kurejeshewa ardhi zao walizonyang'anywa

    Sep 01, 2020 08:12

    Wakulima wazungu waliohamia Zimbabwe ambao walinyang'anywa ardhi zao za kilimo wakati wa utawala wa Rais Robert Mugabe wanaweza kuwasilisha maombi ili kurejeshewa ardhi hizo.

  • Zimbabwe kuwalipa wakulima wazungu fidia ya dola bilioni 3.5

    Zimbabwe kuwalipa wakulima wazungu fidia ya dola bilioni 3.5

    Jul 30, 2020 06:07

    Serikali ya Zimbabwe imeafiki kuwalipa wakulima wazungu fidia ya dola bilioni 3.5 kutokana na ardhi zao kuchukuliwa na serikali kwa ajili ya kuwapa wenyeji Waafrika.

  • Rais wa Zimbabwe awashambulia Wamagharibi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Afrika

    Rais wa Zimbabwe awashambulia Wamagharibi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Afrika

    May 25, 2020 21:57

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amezishambulia vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuingilia masuala ya ndani ya mataifa ya Afrika.

  • Chama kikuu cha upinzani Zimbabwe chaitaka polisi ieleze waliko wanaharakati waliotoweka

    Chama kikuu cha upinzani Zimbabwe chaitaka polisi ieleze waliko wanaharakati waliotoweka

    May 15, 2020 03:24

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha Harakati kwa ajili ya Mabadiliko ya Kidemokrasia (MDC) kimesema, wanaharakati wake watatu wametoweka baada ya kushiriki maandamano ya kulalamikia uhaba wa chakula; na polisi inakana kuwashikilia wakati awali ilivieleza vyombo vya habari vya ndani kwamba wanaharakati hao walikuwa wamekamatwa.

  • Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020

    Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020

    May 07, 2020 21:01

    Leo ni tarehe 13 Ramadhani 1441 Hijria sawa na Mei 7 mwaka 2020.

  • Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Apr 11, 2020 06:41

    Wakili mmoja wa Uganda ameishtaki serikali ya Rais Yoweri Museveni katika Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki EACJ akitaka kuondolewa zuio la kutoka nje lililotangazwa na serikali kama moja ya njia za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 (corona) nchini humo.

  • Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Mar 20, 2020 09:57

    Serikali ya Afrika Kusini imesema inajiandaa kujenga uzio wa kilomita 40 katika mpaka wa nchi hiyo na Zimbabwe, kwa lengo la kuzuia wahamiaji haramu kuingia nchini humo, na pia kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini humo.

  • Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe

    Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe

    Mar 10, 2020 04:48

    Hali ya taharuki imetanda nchini Zimbabwe baada ya mtu anayeshukiwa kuwa na virusi vya Corona kutoroka hospitalini alikokuwa amewekwa karantini na kwenda kusikojulikana.

  • WFP: Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa

    WFP: Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa

    Dec 31, 2019 09:30

    Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa ambapo karibu watu milioni 8 sawa na nusu ya watu wote wa nchi hiyo hawana uhakika wa chakula.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS