Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020

    Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020

    May 08, 2020 01:31

    Leo ni tarehe 13 Ramadhani 1441 Hijria sawa na Mei 7 mwaka 2020.

  • Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Apr 11, 2020 11:11

    Wakili mmoja wa Uganda ameishtaki serikali ya Rais Yoweri Museveni katika Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki EACJ akitaka kuondolewa zuio la kutoka nje lililotangazwa na serikali kama moja ya njia za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 (corona) nchini humo.

  • Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe

    Mar 20, 2020 13:27

    Serikali ya Afrika Kusini imesema inajiandaa kujenga uzio wa kilomita 40 katika mpaka wa nchi hiyo na Zimbabwe, kwa lengo la kuzuia wahamiaji haramu kuingia nchini humo, na pia kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini humo.

  • Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe

    Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe

    Mar 10, 2020 08:18

    Hali ya taharuki imetanda nchini Zimbabwe baada ya mtu anayeshukiwa kuwa na virusi vya Corona kutoroka hospitalini alikokuwa amewekwa karantini na kwenda kusikojulikana.

  • WFP: Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa

    WFP: Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa

    Dec 31, 2019 13:00

    Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa ambapo karibu watu milioni 8 sawa na nusu ya watu wote wa nchi hiyo hawana uhakika wa chakula.

  • Rais: Zimbabwe haitarejea katika matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani

    Rais: Zimbabwe haitarejea katika matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani

    Dec 14, 2019 07:28

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema licha ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kukabiliwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi, lakini haitarejea katika matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani.

  • Mahakama ya Zimbabwe yamteuwa Bona Chikore kufuatilia mali za Mugabe

    Mahakama ya Zimbabwe yamteuwa Bona Chikore kufuatilia mali za Mugabe

    Dec 05, 2019 12:33

    Mahakama Kuu ya Zimbabwe leo amemteua binti wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe kufuatilia mali zilizoachwa na kiiongozi huyo ili ziweze kugawanywa baina ya warithi wake.

  • Madaktari wanaogoma Zimbabwe wakataa nyongeza ya mshahara

    Madaktari wanaogoma Zimbabwe wakataa nyongeza ya mshahara

    Nov 30, 2019 04:30

    Madaktari wanaoendelea na mgomo nchini Zimbabwe tokea mwezi Septemba mwaka huu wamekataa pendekezo la serikali la kurejea kazini baada ya kupewa nyongeza ya mishahara.

  • Rais wa Zimbabwe aachana na mpango wa kuondoa ruzuku kwa mazao ya nafaka

    Rais wa Zimbabwe aachana na mpango wa kuondoa ruzuku kwa mazao ya nafaka

    Nov 28, 2019 12:00

    Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe imesema kuwa itaachana na mpango wake wa kuondoa ruzuku kwa mazao ya nafaka ifikapo mwakani; hatua iliyoitaja kuwa itawalinda raia maskini na kupanda kwa bei ya bidhaa za vyakula.

  • Polisi Zimbabwe watumia gesi ya kutoa machozi na marungu kuwatawanya wafuasi wa upinzani

    Polisi Zimbabwe watumia gesi ya kutoa machozi na marungu kuwatawanya wafuasi wa upinzani

    Nov 20, 2019 12:52

    Polisi nchini Zimbabwe leo Jumatano wametumia marungu, gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kuwapiga na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani ambao walikuwa wamekusanyika nje ya makao makuu ya chama hicho kusikiliza hotuba ya kiongozi wao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS