-
Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020
May 08, 2020 01:31Leo ni tarehe 13 Ramadhani 1441 Hijria sawa na Mei 7 mwaka 2020.
-
Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona
Apr 11, 2020 11:11Wakili mmoja wa Uganda ameishtaki serikali ya Rais Yoweri Museveni katika Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki EACJ akitaka kuondolewa zuio la kutoka nje lililotangazwa na serikali kama moja ya njia za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 (corona) nchini humo.
-
Afrika Kusini kujenga uzio katika mpaka wake na Zimbabwe
Mar 20, 2020 13:27Serikali ya Afrika Kusini imesema inajiandaa kujenga uzio wa kilomita 40 katika mpaka wa nchi hiyo na Zimbabwe, kwa lengo la kuzuia wahamiaji haramu kuingia nchini humo, na pia kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini humo.
-
Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe
Mar 10, 2020 08:18Hali ya taharuki imetanda nchini Zimbabwe baada ya mtu anayeshukiwa kuwa na virusi vya Corona kutoroka hospitalini alikokuwa amewekwa karantini na kwenda kusikojulikana.
-
WFP: Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa
Dec 31, 2019 13:00Zimbabwe inakabiliwa na hatari ya baa kubwa la njaa ambapo karibu watu milioni 8 sawa na nusu ya watu wote wa nchi hiyo hawana uhakika wa chakula.
-
Rais: Zimbabwe haitarejea katika matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani
Dec 14, 2019 07:28Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema licha ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kukabiliwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi, lakini haitarejea katika matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani.
-
Mahakama ya Zimbabwe yamteuwa Bona Chikore kufuatilia mali za Mugabe
Dec 05, 2019 12:33Mahakama Kuu ya Zimbabwe leo amemteua binti wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe kufuatilia mali zilizoachwa na kiiongozi huyo ili ziweze kugawanywa baina ya warithi wake.
-
Madaktari wanaogoma Zimbabwe wakataa nyongeza ya mshahara
Nov 30, 2019 04:30Madaktari wanaoendelea na mgomo nchini Zimbabwe tokea mwezi Septemba mwaka huu wamekataa pendekezo la serikali la kurejea kazini baada ya kupewa nyongeza ya mishahara.
-
Rais wa Zimbabwe aachana na mpango wa kuondoa ruzuku kwa mazao ya nafaka
Nov 28, 2019 12:00Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe imesema kuwa itaachana na mpango wake wa kuondoa ruzuku kwa mazao ya nafaka ifikapo mwakani; hatua iliyoitaja kuwa itawalinda raia maskini na kupanda kwa bei ya bidhaa za vyakula.
-
Polisi Zimbabwe watumia gesi ya kutoa machozi na marungu kuwatawanya wafuasi wa upinzani
Nov 20, 2019 12:52Polisi nchini Zimbabwe leo Jumatano wametumia marungu, gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kuwapiga na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani ambao walikuwa wamekusanyika nje ya makao makuu ya chama hicho kusikiliza hotuba ya kiongozi wao.